Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Mbowe amepoteza mabilioni CHADEMA na hapa anaendelea kujitolea la sivyo hakuna upinzani nchii hii. Ni juhudi binafsi tu za Mbowe, mbona vyama vingine vilishakufa zamani huoni hilo wewe?
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Waione na waisome Erythrocyte Arushaone Chakaza na wapambe wote wa Nkurunzinza
 
Ruzuku ndiyo maana hataki chama kijitegemee
Ruzuku ni Kitu minor sana Kusema ndio kinamfanya anganganie hio Position, Nahsi yupo kwenye Payroll ya Watu fulani na anakuwa well paid anapo neutralize watu refer vitu kama Maridhiano na Kumwaga Sifa Kibao

Kiukweli tu msitegemee Kitu chochote kipya kwa Kiongozi ambae ame rule for more than 20 years, Tactics zake zitakuwa zile zile hata trust na wananchi hana tena kupumzika Ingeleta Uhai mpya kwa chama na Kumpa Heshima kubwa
Nadhani Mbowe mwishoni anataka Chadema kimfie na Kitoke kwenye Nafasi ya Kuwa chama Kikuu cha Upinzani
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Kazi kweli kweli
 
Ruzuku ni Kitu minor sana Kusema ndio kinamfanya anganganie hio Position, Nahsi yupo kwenye Payroll ya Watu fulani na anakuwa well paid anapo neutralize watu refer vitu kama Maridhiano na Kumwaga Sifa Kibao

Kiukweli tu msitegemee Kitu chochote kipya kwa Kiongozi ambae ame rule for more than 20 years, Tactics zake zitakuwa zile zile hata trust na wananchi hana tena kupumzika Ingeleta Uhai mpya kwa chama na Kumpa Heshima kubwa
Nadhani Mbowe mwishoni anataka Chadema kimfie na Kitoke kwenye Nafasi ya Kuwa chama Kikuu cha Upinzani
Ndiyo anachotaka haiwezekani ulazimishe miaka zaidi ya 20 upo tu na hakuna jipya, hata ruzuku 107M + michango ya wahisani, vyama rafiki na kadi za wananchama ni hela ndefu sn, chama kikuu cha upinzani 15 years hakina vita uchumi vyake ni aibu kubwa sn
 
Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.

Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.

Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.

Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Mbowe anatumia cheo chake kujinufaisha binafsi hasa biashara zake, ukweli huu ni mchungu kwake, status ya opposition leader anakitumia kwenye bussiness
 

Nimeandika hii thread kanakwamba nilikuwa nayajua haya yaliyosemwa kwenye hii clip.

Anyway, ni logical thinking inayoweza kufanywa na mtu mwingine yoyote kwasababu ya mazingora ya hili sakata la Mbowe kung'ang'ania madaraka.

Asante kwa kuletea hii clip hapa jukwaani. Tumesikia mengi sana ambayo hatukuyatarajia. kabisa.

Kama anasingiziwa, Mbowe aqjitokeza hadharani akanushe na afafanue hizi tuhuma..
 
Tutakuwa na uhalali gani wa kuwakemea CCM kuwa ni wala RUSHWA wakati sisi wenyewe tumeanza kugubigwa na RUSHWA?!

Tumchague Lissu na Heche watusafishie chama.
 
Mzee wa busara na maridhiano ya nyuma ya Pazia.

Mbona Iko wazi tu Mbowe yako hapo sababu ya ushirikiano wake na deep state ya nchi hii, Kuna maslahi mapana sana binafsi anayavuna kwa hiyo nafasi ambayo chimbuko lake ni chama tawala.

Ndio maana chama Cha Wala wanatumia nguvu kubwa sana kumpigia chepuo, maana wanajua deep state haiwezi kukaa meza Moja na mtu kama Lissu.
 
Waione na waisome Erythrocyte Arushaone Chakaza na wapambe wote wa Nkurunzinza
Kuniita mpambe ni kunionea sana au kutokusoma maandiko yangu na kuyaelewa.
Ni kweli ni wakati wa Mbowe kupisha wengine kuongoza mapambano, lakini kugombea kwake hajavunja katiba na pia bado anastahili kupendwa na kuheshimiwa kwa aliyofanya kwa Chadema, upinzani na Tanzania kwa jumla.
Ila ni wazi kuwa hakuna wanafiki wakubwa duniani kufikia kiwango cha CCM, wao walikuwa wanapiga kelele oo Mbowe ni sultan hataki kutoka madarakani nk. Sasa Chama kinataka kumpumzisha aingie kamanda asiyeshindwa Lissu na eti wanamtaka Mbowe kwa mbinu zote.
Wakae kwa kutulia hayo ni ya Chadema
 
Kuniita mpambe ni kunionea sana au kutokusoma maandiko yangu na kuyaelewa.
Ni kweli ni wakati wa Mbowe kupisha wengine kuongoza mapambano, lakini kugombea kwake hajavunja katiba na pia bado anastahili kupendwa na kuheshimiwa kwa aliyofanya kwa Chadema, upinzani na Tanzania kwa jumla.
Ila ni wazi kuwa hakuna wanafiki wakubwa duniani kufikia kiwango cha CCM, wao walikuwa wanapiga kelele oo Mbowe ni sultan hataki kutoka madarakani nk. Sasa Chama kinataka kumpumzisha aingie kamanda asiyeshindwa Lissu na eti wanamtaka Mbowe kwa mbinu zote.
Wakae kwa kutulia hayo ni ya Chadema
Nimekusoma kamanda na nimekuelewa. Pamoja sana
 
Back
Top Bottom