Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ruzuku ndiyo maana hataki chama kijitegemeeNdugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.
Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.
Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.
Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Acha ukabila wachaga kibao wanampiga Mbowe na kuna watu ambao siyo wachaga wanampigia debe Mbowe tuacheni ukabilaNa hawezi achia hiyo nafasi Chadema ni Chaga Development Manifesto Kuna ukabila wa kudumu
Hapana mkuu asilimia 70 ya wanalipwa mshahara pale UFIPA ni wa Mangi.Acha ukabila wachaga kibao wanampiga Mbowe na kuna watu ambao siyo wachaga wanampigia debe Mbowe tuacheni ukabila
Kuna biashara inayoitwa 'siasa' .Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.
Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.
Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.
Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
Atakuwa ni mjinga kama atakubali kuachia kitega uchumi chakeMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3200417
Ninahakika akitoka madarakani, ukweli utajulikana baada ya muda. Mbowe kutaka kuendelea kuwa Mwenyekit,i kuna sababu nyuma yake inayomlazimisha ang"ang"anie uenyekiti na wala sio kwa lengo la kukisaidia chama kutimiza lengo la kushika dola.Eti kuna kitu anataka kupush! Umeshindwa kupush miaka 20?Kweli aliyetuita Nyumbu hakukosea
Broo umekuwa mpumbavi sana siku hizi kisa tu siasa za Mbowe na Lissu.Ndugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.
Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.
Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.
Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?
KabisaApumzishwe tu, ameshindwa kustaafu kwa heshima sasa ni zamu yetu wajumbe kumpumzisha kwa lazima.
Chama lazima kisonge mbele kwa fikra mpya na sahihi
Mtu akiwa mpumbavu, unapuuzia tu hoja zake maisha yanaenda.Broo umekuwa mpumbavi sana siku hizi kisa tu siasa za Mbowe na Lissu.
Hivi unaelewa kweli kusimamia maono na mpango unaokuwa nao?
Wangapi wanawekeza katika jambo fulani lakin wakati mwingine hufeli. Unadhani ikitokea chadema wakapata dol Mbowe ama yeyote yule hata faidika.
Hata wakipata wabunge wengi unadhani hakuna kiongozi atakaye faidika?
Usijitoe akili, Mbowe ameshasema wajumbe wasipo mchagua kwake itakuwa heri.
Wekeza kwenye kampeni wajumbe wasimchague Mbowe, atoke kidemkrasia.
Figisu hajaumbiwa Mbowe tu, fanyeni siasa za jino kwa jino ili mumtoe Mbowe.
Kuna watu hutakiwi kupuuzia hoja zao. Hasa mtu kama wewe. Nimekuwa nikisoma maandiko yako mengi kwa muda sasa naamini hata wengine. Haya ya siasa za Mbowe na Lissu ni kama yamekuvuruga kabisa.Mtu akiwa mpumbavu, unapuuzia tu hoja zake maisha yanaenda.
uongozi uliyo imara ni ule unaotokana na kupewa kijiti na mwenzako kwa amani.yani anakuwa amekuaanda vyema na amekuamini.Hii ya chadema ya kuvuana nguo ni uhuni tuNdugu Mwenyekiti, miaka 21 ya kuwa mwenyekiti ni mingi sana, isitoshe umeshafanya mengi mazuri kama Mwenyekiti na kwa sasa hatutarajia jipya lolote kutoka kwako bali tunatamani kukuona unastaafu kwa heshima na kuachia wengine waendeleze guruduma.
Pengine Mwenyekiti sasa utuambie CHADEMA kuna biashara gani kiasi kwamba uko tayari kuendelea kutumia fedha zako kukifadhili chama kama unavyosema wewe mwenyewei na wapambe wako.
Haingii akilini kung'ang'ania kitu ambacho ni liability tena kwa mfanyabiashara na zaidi mfanyabiashara mwenye asili ya kichaga.
Narudia swali langu: hapo CHADEMA kuna biashara gani ndugu Mwenyekiti?