Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Viongozi wengi wa Africa wakiingia Madarakani huamini wao ndio pekee wanaweza kuongoza na hata kama mambo yakienda vibaya bado huamini wenyewe pekee ndio huweza yaweka yakae sawa .
Tabia hii ni ya kupingwa kama mtu mzalendo sana ni bora uweke katiba nzuri ya Nchi au Chama ili kila anae ingia madarakani aifuate .
Hata tunaokipenda sana Chama tunaanza kichoka .
Tabia hii ni ya kupingwa kama mtu mzalendo sana ni bora uweke katiba nzuri ya Nchi au Chama ili kila anae ingia madarakani aifuate .
Hata tunaokipenda sana Chama tunaanza kichoka .