John Momose Cheyo amekua mwenyekiti wa UDP nimemsikia tangu nipo chekechea hadi sasa na familia,ila huwezi sikia hawa mafala wa kijani wakimzungumzia popote, ila mbowe kwa kuwa ni mpinzani imara mwenye msimamo imara ndio mana kutwa kumzonga kila uchwao.
Acheni unafiki mafala ninyi kenge wa kijani mnakela sana.
View attachment 3030819