Mwenyekiti Mbowe kama miaka 30 upo madarakani hatujafanikiwa, hiyo dola tutaikamatia wapi ili tupimwe?

Mwenyekiti Mbowe kama miaka 30 upo madarakani hatujafanikiwa, hiyo dola tutaikamatia wapi ili tupimwe?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
1000006423.jpg
 
Ukiwa muongo Angalau uwe na kumbukumbu.

Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema ni Edwin Mtei, wa Pili ni Bob Makani na watu NI Freeman Mbowe.

Hiyo Chedema imeanzishwa Mwaka gani mpaka Mbowe awe na miaka 30, mfumo wa vyama vingi umerudishwa Tanzania Mwaka 1992.
 
Ukiwa muongo Angalau uwe na kumbukumbu.

Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema ni Edwin Mtei, wa Pili ni Bob Makani na watu NI Freeman Mbowe.

Hiyo Chedema imeanzishwa Mwaka gani mpaka Mbowe awe na miaka 30, mfumo wa vyama vingi umerudishwa Tanzania Mwaka 1992.
Huyo Kamanda Asiyechoka ni CCM disguised!!
 
Back
Top Bottom