Mwenyekiti Mbowe kama miaka 30 upo madarakani hatujafanikiwa, hiyo dola tutaikamatia wapi ili tupimwe?

Ukiwa muongo Angalau uwe na kumbukumbu.

Mwenyekiti wa Kwanza wa Chadema ni Edwin Mtei, wa Pili ni Bob Makani na watu NI Freeman Mbowe.

Hiyo Chedema imeanzishwa Mwaka gani mpaka Mbowe awe na miaka 30, mfumo wa vyama vingi umerudishwa Tanzania Mwaka 1992.
 
Huyo Kamanda Asiyechoka ni CCM disguised!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…