Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Una uhakika ?Huyo sio mnyakyusa atakuwa mwenyekiti wa familia yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ?Huyo sio mnyakyusa atakuwa mwenyekiti wa familia yake
Wewe kibwengo hebu wataje hao wadau sasa🙂Wadau mbalimbali kote Duniani Wamempongeza Mwenyekiti mpya wa Chadema Mkoa wa Mbeya …
Tukiwataja hii JF itatosha kweli ? Halafu kibwengo anawezaje kuwataja binadamu ?Wewe kibwengo hebu wataje hao wadau sasa🙂
kwani Kuna kipindupindu tena ?Malawi hapalaliki leo.
Kawanyoe!Ila hawana vipara😅
Kwani wewe ni bwana Afya? Umeleta taarita za Kipindupindu hapa?kwani Kuna kipindupindu tena ?
Pia ni mwenyeshibe hana njaa kaliiNi mfia chama
Wenye vipara zimeondoja na akili😀Kawanyoe!
huyu ndie aliewashinda wenzie na kupata ushindi wa kishindo wa kura 17 kati ya 34 za wajumbe, right?Wadau mbalimbali kote Duniani Wamempongeza Mwenyekiti mpya wa Chadema Mkoa wa Mbeya .
Baadhi hawa hapa
View attachment 2958748View attachment 2958749

Sasa unasemaje hapo hakuna zile kura za maruhani, ama za jecha😁huyu ndie aliewashinda wenzie na kupata ushindi wa kishindo wa kura 17 kati ya 34 za wajumbe, right?![]()
Hata Isreal licha ya kuwa na silaha zote duniani wapo na Hamas ktk meza ya mazungumzo. Alidhani Gaza kama kuvamia afisi za chadema ukaondoka na viongozi waoKwahiyo mtashiriki uchaguzi kwa sheria zilizosainiwa na Mh. Rais
Halafu uache dharau ujuee🤪Hata Isreal licha ya kuwa na silaha zote duniani wapo na Hamas ktk meza ya mazungumzo. Alidhani Gaza kama kuvamia afisi za chadema ukaondoka na viongozi wao
Kabila gani??Huyo sio mnyakyusa atakuwa mwenyekiti wa familia yake
Tanzania hatutambuani kwa makabila yetu,ila utanzania wetu🤔Kabila gani??
nimefurahia nyomi ya wajumbe na kishindo cha jamaa dhidi ya wengine , kawagalagaza mbaya sana dah....Sasa unasemaje hapo hakuna zile kura za maruhani, ama za jecha😁


Magonjwa hujambo🤔Wewe kibwengo hebu wataje hao wadau sasa🙂
Sijambo.Magonjwa hujambo🤔
Mlijenga mazingira ili CDM isusie uchaguzi eeh!? Imekula kwenu nyie ndezi kama walivyokuwa ndezi wengine.Kwahiyo mtashiriki uchaguzi kwa sheria zilizosainiwa na Mh. Rais