Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya apongezwa

Kwahiyo mtashiriki uchaguzi kwa sheria zilizosainiwa na Mh. Rais
Hata Isreal licha ya kuwa na silaha zote duniani wapo na Hamas ktk meza ya mazungumzo. Alidhani Gaza kama kuvamia afisi za chadema ukaondoka na viongozi wao
 
Hata Isreal licha ya kuwa na silaha zote duniani wapo na Hamas ktk meza ya mazungumzo. Alidhani Gaza kama kuvamia afisi za chadema ukaondoka na viongozi wao
Halafu uache dharau ujuee🤪
 
Sasa unasemaje hapo hakuna zile kura za maruhani, ama za jecha😁
nimefurahia nyomi ya wajumbe na kishindo cha jamaa dhidi ya wengine , kawagalagaza mbaya sana dah....

ishara njema kushindwa kwa kishindo serikali za mtaa baadae mwaka huu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…