Hicho ni kipindi ambacho uwa kinawahoji mabillionare, hiyo picha waliyokuwa wakitumia TBC ni ya kutoka katika hicho kipindi.najuliza sana sana kwa nini TBC waliweka maandishi yanayosomeka THE BILLIONARES CLUB wakati wanatujuza kuhsu kifo cha Dr.Mengi??!!!??
Oooh ahsante kwa kunijuza.mi mawazo yangu yalienda kwenye Nollywood movies!!!!Hicho ni kipindi ambacho uwa kinawahoji mabillionare, hiyo picha waliyokuwa wakitumia TBC ni ya kutoka katika hicho kipindi.
Watanzania bana mnajua kila kitu !!!Ilibidi waseme hivyo but was in vacation na mke mdogo. But wonders shall never end!!! Alipokuwa ICU je mdada alijishughulisha vya kutosha kuhakikisha tiba na mambo mengine? Je alikuwepo hospital muda wote ili kama kuna emergency zaidi afuatilie? Watoto walipofika Hospital walimkuta bi mdogo pale? Alirudi baada ya muda gani? Je alikuwa wapi? Je mawasiliano ya simu baada ya watoto wakubwa kufika Dubai na kumweleza bi mdogo kuwa wako tayari Dubai ilikuwaje baadaye?
Tutajua mengi tu kati Mengi ambayo Mengi yalimkuta.
Another episode!!!
Mkewe aende naeChief lazima aende na msaidizi ,wajiandae hakuna namna ,mmojawapo,ataungana nae,ni utaratibu,stay tuned
Hahaha. Shukrani mkuuWatanzania bana mnajua kila kitu !!!
Endelea tu kula ugali maharage kibandani kwako
Hiyo ni x wake hivyo ni lazima ajisikie vibaya. Na ni na imani waliahana bila bifu kubwa.madam rita wa BSS ana hali gani jamani?
Utakuwa mwanga tu wewe, ulikuwepo alivyokuwa anakunywa hizo Viagra?.Old is gold + The younger the better + Viagra + overdose = heart failure.
Kifo ni kifo lakini sababu ni nyingi.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Kuna Roy Mengi aliyekuwa anaishi Uingereza, not sure kama ni mtoto wake, nadhani mtoto wa ndugu yake.Ila kuna somewhere post zilizopita kuna member amesema kuwa Roy amejiandaa kuvurumusha au kufanya valangati fulani hivi. So nikajua kuna hiyo Roy perhaps hawajakosea.
Ameeacha watoto wanne, Twins wa Kylin , Abdiel na ReginaLabda atakuwa alizaa na mwanamke mwingine maana mama Mercy aliacha watoto wawili Abdiel na Regina wakati wa mazishi yake haya ndio yalisomwa kwenye risala, huyu Roy mwingine jibu tutapata kwenye historia ya marehemu.
Ukiletaleta mambo ya Mange Kimambi na kuhujihoji nini kimemuua comment inefyekwa..You are right ,some comments deleted
Utakula ban..Old is gold + The younger the better + Viagra + overdose = heart failure.
Kifo ni kifo lakini sababu ni nyingi.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Tena usithubutu kutumia, ni hatari kwa afya yako. Wanaweza hata kukuambukiza tezi dume [emoji28][emoji28][emoji28]Ahahaa acha tu ninyamaze.au ndo wewe?
Ana mke na mtoto mkuu .na Mimi waume za watu situmii.
Shika miaka yote mkuu maana hata mwaka sahihi ukiujua haiwezi kurudisha uhai wake.Umri sahihi wa kuzaliwa DR Mengi aueleweki , napitia magazeti ya leo hapa na mitandao tofauti ya kijamii , ni 1942, 1944,au 1945 upi ni sahihi
Sio kwenye uzi Huu tu....Jamii Forum Mods saivi hamna cha UWAZI tena...ile kusema matusi hayaruhusiwi bora wangeruhusu tu maana Mtu hutukani,unaandika unachokijua tena kwa lugha nzuri na fasaha ila wao WANAFUTA....Tupo JF kwasababu ya mazoea tu...itatokea tu Sehemu kimbilio siku 1"JAMIIFORUMS ~ Where We Dare To Talk Openly" Mbona kauli mbiu hii haiendani na kilichofanyika kwenye uzi huu, comments nyingi zimefutwa kwa manufaa ya nani au watu wa St Peters pale washaingia ofisini kwenu
Mkuu mbona humu serikali inapondwa sana mpaka rais magufuli anapondwa sana!!! Lakini vitu vinaachwa hewani...Ukiletaleta mambo ya Mange Kimambi na kuhujihoji nini kimemuua comment inefyekwa..
Toa pole tembea. Akina Mike Mushi ndo wanaoumoderate uzi huu.