TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

Uchumi ulio taabani plus kifo hiki cha huyu tajiri ambae ni mlipa kodi mkubwa na pia mwajiri mkubwa,ni janga lingine linakuja unless watakaorithi watamudu kuendesha biashara alizoacha yakiwemo makampuni,n.k.

Ama kweli kamba hukatikia pabovu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…