Uchaguzi 2020 Mwenyekiti na Katibu Mwenezi wako tunawaomba sana acheni kutufokea

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti na Katibu Mwenezi wako tunawaomba sana acheni kutufokea

Joined
Feb 18, 2019
Posts
53
Reaction score
539
Sisi watanzania wazalendo hatujawahi kuona siasa za namna hii. Siasa za kufokeana fokeana badala ya kunadi sera zenu. Siasa za kuita waandishi wa habari na kufokafoka kwa mambo ambayo hayana mbele wala nyuma.

Hivyo tunawaomba sana fanyeni siasa za kisayansi. Kama hamzijui basi muigeni katibu mkuu wenu. Au waigeni wale CCM asili maana nyie CCM mpya inaonekana hamjui propaganda za siasa.

Kumbukeni kizazi cha sasa sio kama cha zamani. Nyakati zimebadilika sana, inawezekana sisi raia tuko mbele kiteknolojia kuliko nyie.

Propaganda za mwaka 90 hazina nafasi katika dunia ya sasa.
 
Wanachezeshwa ngoma bila kupenda , mwisho Wa siku wanafoka foka tuu hahahaha

Mambo yamekua ndivyo sivyo.

Kwa hali jinsi ilivyo sasa hivi , Yale mawazo ya CCM kubadili katiba na kumuongezea muda bwana mkubwa yatakua yameshapotelea mbali .
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Hahaha kumbe KUFOKA NI HULKA YENU?!

Mbona Chadema wametukanwa sanaa, na Magufuli mwenyewe akiongoza lakini watanzania tuna muacha tu kwasababu tunamfahamu, hawezi kujieleza kazoea KUFOKA, na kipindi hiki cha kampeni ANATUFOKEA sana lakini tunaelewa yuko stressed sana hivyo tuna take easy tu.

Paskal usichukulie serious kiivyo, haya maandishi wala hayahami kuja kukuchafua, usipoyasoma ndio kabisaaa utakuwa poa kabisa.

Kunywa maji upoze kuchwa ccm mnawakati mgumu sana, confidence ya kuiba na kupika matokeo mnayo na ndiyo inampa jeuri hata Magufuli, otherwise angesha jitoa.
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P


Kuna kitu umeongea paskali ni very sensitive kuhusu kusanyiko.

Jana nlikuwa kijijini kijana mmoja mtu wa makamo akaniuliza huko mjin nasikia wafsnyskazi mnataka uongoz mpya?

Sikumjibu, nikamtega nikamuuliza wao wanawaza nini? Alinijibu ifuatavyo

"Hatujawahi kushuhudia upinzani ukiwa madarakani---hatujui utatutendaje" mwisho wa kunukuu.

TAL kama anataka uingozi wa nchi anapaswa kuwa assure wapiga kura wale wa vijijini ambao kimsingi hupiga kura nini hatma yao baada ya kuingia ikulu....nini hatma ya ardhi yao, watanyanganywa au watalindwa? Nini hatma ya mifugo yao.

Kuna wanyonge wanaorasmishiwa marneo yao dhidi ya matajiri wenye nguvu...jambo zuri sana alilofanya JPM...kuwaweka wanyongr na matajiri katika usawa mmoja inapokuja suala la kutafuta haki.....je mwanasheria TAL yuko teyar kumtetea mnyonge mbele ya tajiri anayeshinda kesi mahakamani kwa sababu ya mawakili wengi wanaolipwa vizuri? Anahitaji kuwafafanulia kwa dhati wananchi kama sikunzote atasimama na wanyonge.

Anahitaji kuwaelimisha ni jinsi gani wakulima na wafugaji watakomboka kupitia kazi wanazofanya.

Mjini Kuna kundi flani makini pia linahitaji kujuwa ni jinsi gani ataendeleza mazuri yaliyopo sasa. Na yenye matokeo bora ya baadae. Watu walishuhudia ufutwaji mradi wa gas ukawekwa wa umeme maji na maraisi wa chama moja. Hawajui akiwa wa chama tofauti SGR ndio imeenda makumbusho? Atatumia mfumo gani wa kitaifa kuchambua vyw kuendeleza? Na vya kuongeza spidi? Vya kupunguza na vya kuacha kwa muda? Atatumia mfumo gani kuset priorities zake?

Kuna watu wanakuja kwenye kampeni wamekunja mikono wanasubiri lao litajwe....wengi wanaokuja kwenye mikutano ya TAL wanatamani kujuwa atapowagusa KISIASA (MAAMUZI)... KIUCHUMI (kazi na pesa) NA KIJAMII (mifumo ya maisha na huduma za jamii)....wasiposikia la kwao huondoka kimywa kimya na kusema HERI ZIMWI LINIJUALO.
 
Kuna kitu umeongea paskali ni very sensitive kuhusu kusanyiko...

Jana nlikuwa kijijini kijana mmoja mtu wa makamo akaniuliza huko mjin nasikia wafsnyskazi mnataka uongoz mpya?

Sikumjibu, nikamtega nikamuuliza wao wanawaza nini? Alinijibu ifuatavyo

"Hatujawahi kushuhudia upinzani ukiwa madarakani---hatujui utatutendaje" mwisho wa kunukuu...

TAL kama anataka uingozi wa nchi anapaswa kuwa assure wapiga kura wale wa vijijini ambao kimsingi hupiga kura nini hatma yao baada ya kuingia ikulu....nini hatma ya ardhi yao, watanyanganywa au watalindwa? Nini hatma ya mifugo yao....

Kuna wanyonge wanaorasmishiwa marneo yao dhidi ya matajiri wenye nguvu...jambo zuri sana alilofanya JPM...kuwaweka wanyongr na matajiri katika usawa mmoja inapokuja suala la kutafuta haki.....je mwanasheria TAL yuko teyar kumtetea mnyonge mbele ya tajiri anayeshinda kesi mahakamani kwa sababu ya mawakili wengi wanaolipwa vizuri? Anahitaji kuwafafanulia kwa dhati wananchi kama sikunzote atasimama na wanyonge.
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Uwingi wa CCM hauondoi ukweli kuwa hili ni kusanyiko la wajinga na hata wakishinda kwa asilimia 90.
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P

P.
Matokeo sio kielelezo cha ... au la! Uko sahihi kufanya siasa za kistaarabu lakini jua pia kampeni ni swala la character kama sio sera. Ndio maana washindi hutoka vyama tofauti kwa sababu wapiga kura walio werevu huchagua character. Usione ni vibaya character ya mgombea kusemwa vibaya na mpinzani wake!! Tusipende kusikia tukisifiwa tu, tukikosolewa kwa mabaya yetu kutajwa - sio matusi!
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Kaka paskali nakuita kinyumbani kabisa.
Tena wewe Ni mwanahabari
unahisi KWA hii MIAKA m5 ya huu utawala
UHURU WA HABARI NA DEMOKRASIA IMETENDEWA HAKI?
KWA MUJIBU WA KATIBA YA JMT.
Nijibu

Ukinijibu vinginevyo bila shaka wewe utakua Ni mmoja wa wanao nufaika na hii system.
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P

Pascal wewe hata cheo cha kunawisha viongozi wa kata mikono hutapewa! Unahangaika tu! Tunajua maana ya jina lako Mkuu alishatuambia!
 
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Usomi wako (kama wewe ni msomi wa kweli) unapaswa kukusaidia kuona nchi hii inahitaji mabadiliko, usiangalie teuzi unazozinyemelea ilhali ndugu zako wanakufa kwa umaskini.
 
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Wewe maneno yaliyotumika dhidi yw kusanyiko la Chama chako yanakustahili kabisa. Huna hoja zaidi ya mihemko na lugha za kihuni. Yaani umeona wanaoongea uhuni wanapata teuzi na wewe umeanza kuiga. Bora ungebaki raia mwema mwenye busara kuliko kuwa kiongozi mwenye wahaka.
 
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Ww bado hujateuliwa tu mpaka sasa kumbe...pambana mkuu..nafasi yako ipo
Wanyonge wapi hao? Hao wajasiriamali na vitambulisho sio wanyonge? Mbona sasa mmevifuta? Hamkuliona hilo mwanzo?
Mwanzo ulikuwa kijana safi sana kwa lile swali lako pale ikulu..ila baada ya kuona nafasi za teuzi ni nyingi..ongezea na ukabila..ukafuata upepo..endelea kujipigia chapuo utapata nafasi..
 
Back
Top Bottom