Uchaguzi 2020 Mwenyekiti na Katibu Mwenezi wako tunawaomba sana acheni kutufokea

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti na Katibu Mwenezi wako tunawaomba sana acheni kutufokea

Wewe maneno yaliyotumika dhidi yw kusanyiko la Chama chako yanakustahili kabisa. Huna hoja zaidi ya mihemko na lugha za kihuni. Yaani umeona wanaoongea uhuni wanapata teuzi na wewe umeanza kuiga. Bora ungebaki raia mwema mwenye busara kuliko kuwa kiongozi mwenye wahaka.
Naona ameanza kuwehuka siku hizi, Lissu anawachanganya sana.
 
Usomi wako (kama wewe ni msomi wa kweli) unapaswa kukusaidia kuona nchi hii inahitaji mabadiliko, usiangalie teuzi unazozinyemelea ilhali ndugu zako wanakufa kwa umaskini.
Umemwambia anachopaswa kufanya lakini hana udhu wa kukifanya. Anaongozwa na ubinafsi na maslahi ya familia na kabila lake. Ameona uteuzi umempita kwa miaka yote 5 amegeukia kuchaguliwa nako Wajumbe wakamuona Kanjanja wakamtenda.
 
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P

Hata wewe mkuu umeshakuwa wa hovyo hivyo....unaowaita mabeberu wamekuvalisha mpaka chupi hapo ulipo...nguo zote ulizovaa zimetengenezwa nje....ukiwa ccm huwa akili mnaweka pembeni.
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P

Pascal Mayalla Bwanaa!
haya kazi ipo.
vipi yule aliyemuita Mgombea Mmoja MSUKULE?
Utalikemea lini?
Hivi mkusanyiko wa ukweli ni huu unaokusanya watu kwa malori na Viuno vya ZUCHU?
huu unao lazimisha wafanyakazi na wanafunzi kwenda viwanjani?
Unazungumziaje wanaoenda kwa nauli zao au kwa miguu na kuchangia mafuta na chakula kwa mgombea?
 
Hahaha kumbe KUFOKA NI HULKA YENU?!

Mbona Chadema wametukanwa sanaa, na Magufuli mwenyewe akiongoza lakini watanzania tuna muacha tu kwasababu tunamfahamu, hawezi kujieleza kazoea KUFOKA, na kipindi hiki cha kampeni ANATUFOKEA sana lakini tunaelewa yuko stressed sana hivyo tuna take easy tu.

Paskal usichukulie serious kiivyo, haya maandishi wala hayahami kuja kukuchafua, usipoyasoma ndio kabisaaa utakuwa poa kabisa.

Kunywa maji upoze kuchwa ccm mnawakati mgumu sana, confidence ya kuiba na kupika matokeo mnayo na ndiyo inampa jeuri hata Magufuli, otherwise angesha jitoa.
Achana nae keshachanganyikiwa
 
Pascal Mayalla Bwanaa!
haya kazi ipo.
vipi yule aliyemuita Mgombea Mmoja MSUKULE?
Utalikemea lini?
Hivi mkusanyiko wa ukweli ni huu unaokusanya watu kwa malori na Viuno vya ZUCHU?
huu unao lazimisha wafanyakazi na wanafunzi kwenda viwanjani?
Unazungumziaje wanaoenda kwa nauli zao au kwa miguu na kuchangia mafuta na chakula kwa mgombea?
Huyo mtu mkimjibj ndo mnampa credit wakupuzwa tuu
 
Sisi watanzania wazalendo hatujawahi kuona siasa za namna hii. Siasa za kufokeana fokeana badala ya kunadi sera zenu. Siasa za kuita waandishi wa habari na kufokafoka kwa mambo ambayo hayana mbele wala nyuma.

Hivyo tunawaomba sana fanyeni siasa za kisayansi. Kama hamzijui basi muigeni katibu mkuu wenu. Au waigeni wale CCM asili maana nyie CCM mpya inaonekana hamjui propaganda za siasa.

Kumbukeni kizazi cha sasa sio kama cha zamani. Nyakati zimebadilika sana, inawezekana sisi raia tuko mbele kiteknolojia kuliko nyie.

Propaganda za mwaka 90 hazina nafasi katika dunia ya sasa.
Pole pole ni mweupe sana kichwani
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Aibuuu.
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
kusanyiko la kusomba watu
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Kama watangaza uhalisia chadema kidedea kwani maisha yamekuwa magumu
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Tegemeo pekee la ccm ni watu hopeless kama Dr Mahera wa Nec.

Otherwise ccm ijiandae kukabidhi madaraka kwa Tundu Lisu hali halisi huku site siyo nzuri

Hata mimi nilikuwa naamini Magufuli anashinda bila tabu uchaguzi huu, but/lakini hii momentum of Tundu Lisu amegeuza upepo na unavuma upande wake na analitawala jukwaa na wananchi wanamwelewa.

Msaada pekee wa ccm uliobaki ni Nec tu, kwa sababu viongozi wa dini wameshapuuzwa na wananchi, msajiri wa vyama anaonekana kama Futuhi tu, ukimuangalia Mufti mkuu wa waislamu kasoma nyakati anahubiri haki na Mungu ndio atampa amtakaye.

Umeingia ccm kipindi kibaya, jiandae kuwa mkosowaji wa serikali ya Chadema.
 
MENGELENI KWETU,

Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...

Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.

Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Sawa ngosha mchumia tumbo kitaeleweka maana utakuwa katibu tawala kwimba
 
Back
Top Bottom