Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Hahaha kumbe KUFOKA NI HULKA YENU?!Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.Kuna kitu umeongea paskali ni very sensitive kuhusu kusanyiko...
Jana nlikuwa kijijini kijana mmoja mtu wa makamo akaniuliza huko mjin nasikia wafsnyskazi mnataka uongoz mpya?
Sikumjibu, nikamtega nikamuuliza wao wanawaza nini? Alinijibu ifuatavyo
"Hatujawahi kushuhudia upinzani ukiwa madarakani---hatujui utatutendaje" mwisho wa kunukuu...
TAL kama anataka uingozi wa nchi anapaswa kuwa assure wapiga kura wale wa vijijini ambao kimsingi hupiga kura nini hatma yao baada ya kuingia ikulu....nini hatma ya ardhi yao, watanyanganywa au watalindwa? Nini hatma ya mifugo yao....
Kuna wanyonge wanaorasmishiwa marneo yao dhidi ya matajiri wenye nguvu...jambo zuri sana alilofanya JPM...kuwaweka wanyongr na matajiri katika usawa mmoja inapokuja suala la kutafuta haki.....je mwanasheria TAL yuko teyar kumtetea mnyonge mbele ya tajiri anayeshinda kesi mahakamani kwa sababu ya mawakili wengi wanaolipwa vizuri? Anahitaji kuwafafanulia kwa dhati wananchi kama sikunzote atasimama na wanyonge.
Uwingi wa CCM hauondoi ukweli kuwa hili ni kusanyiko la wajinga na hata wakishinda kwa asilimia 90.Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Wachina sio mabeberu?Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
safari hii mchawi wenu ni mmoja. wote mnatumia masaburi kufikiri. Mmetumia ID kuchafua Lisu mmechoka sasa mmejiweka wazi. Polepole jana anamuita Lissu msukule lugha ambazo mmezitumia sana JFSupporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
WaChina sio mabeberu, ni marafiki zetu.Wachina sio mabeberu?
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Mbona tumeimekatali kujenga bandari bagamoyo?WaChina sio mabeberu, ni marafiki zetu.
P
Kaka paskali nakuita kinyumbani kabisa.Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
WaChina sio mabeberu, ni marafiki zetu.
P
Usomi wako (kama wewe ni msomi wa kweli) unapaswa kukusaidia kuona nchi hii inahitaji mabadiliko, usiangalie teuzi unazozinyemelea ilhali ndugu zako wanakufa kwa umaskini.Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Wewe maneno yaliyotumika dhidi yw kusanyiko la Chama chako yanakustahili kabisa. Huna hoja zaidi ya mihemko na lugha za kihuni. Yaani umeona wanaoongea uhuni wanapata teuzi na wewe umeanza kuiga. Bora ungebaki raia mwema mwenye busara kuliko kuwa kiongozi mwenye wahaka.Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Ww bado hujateuliwa tu mpaka sasa kumbe...pambana mkuu..nafasi yako ipoSupporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P