Naona ameanza kuwehuka siku hizi, Lissu anawachanganya sana.Wewe maneno yaliyotumika dhidi yw kusanyiko la Chama chako yanakustahili kabisa. Huna hoja zaidi ya mihemko na lugha za kihuni. Yaani umeona wanaoongea uhuni wanapata teuzi na wewe umeanza kuiga. Bora ungebaki raia mwema mwenye busara kuliko kuwa kiongozi mwenye wahaka.
Umemwambia anachopaswa kufanya lakini hana udhu wa kukifanya. Anaongozwa na ubinafsi na maslahi ya familia na kabila lake. Ameona uteuzi umempita kwa miaka yote 5 amegeukia kuchaguliwa nako Wajumbe wakamuona Kanjanja wakamtenda.Usomi wako (kama wewe ni msomi wa kweli) unapaswa kukusaidia kuona nchi hii inahitaji mabadiliko, usiangalie teuzi unazozinyemelea ilhali ndugu zako wanakufa kwa umaskini.
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Umeongea pumba + panicSupporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Mabeberu na makabaila na mabepari sio watu wazuri....🙁🙁Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
MENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Achana nae keshachanganyikiwaHahaha kumbe KUFOKA NI HULKA YENU?!
Mbona Chadema wametukanwa sanaa, na Magufuli mwenyewe akiongoza lakini watanzania tuna muacha tu kwasababu tunamfahamu, hawezi kujieleza kazoea KUFOKA, na kipindi hiki cha kampeni ANATUFOKEA sana lakini tunaelewa yuko stressed sana hivyo tuna take easy tu.
Paskal usichukulie serious kiivyo, haya maandishi wala hayahami kuja kukuchafua, usipoyasoma ndio kabisaaa utakuwa poa kabisa.
Kunywa maji upoze kuchwa ccm mnawakati mgumu sana, confidence ya kuiba na kupika matokeo mnayo na ndiyo inampa jeuri hata Magufuli, otherwise angesha jitoa.
Mpoteee haamini akionacho ni lazima ajitowe mshipa wa fahamuMabeberu ni kina nani ndugu Pascal Mayalla Mbona unajitoa ufahamu sana ndugu?
Huyo mtu mkimjibj ndo mnampa credit wakupuzwa tuuPascal Mayalla Bwanaa!
haya kazi ipo.
vipi yule aliyemuita Mgombea Mmoja MSUKULE?
Utalikemea lini?
Hivi mkusanyiko wa ukweli ni huu unaokusanya watu kwa malori na Viuno vya ZUCHU?
huu unao lazimisha wafanyakazi na wanafunzi kwenda viwanjani?
Unazungumziaje wanaoenda kwa nauli zao au kwa miguu na kuchangia mafuta na chakula kwa mgombea?
Pole pole ni mweupe sana kichwaniSisi watanzania wazalendo hatujawahi kuona siasa za namna hii. Siasa za kufokeana fokeana badala ya kunadi sera zenu. Siasa za kuita waandishi wa habari na kufokafoka kwa mambo ambayo hayana mbele wala nyuma.
Hivyo tunawaomba sana fanyeni siasa za kisayansi. Kama hamzijui basi muigeni katibu mkuu wenu. Au waigeni wale CCM asili maana nyie CCM mpya inaonekana hamjui propaganda za siasa.
Kumbukeni kizazi cha sasa sio kama cha zamani. Nyakati zimebadilika sana, inawezekana sisi raia tuko mbele kiteknolojia kuliko nyie.
Propaganda za mwaka 90 hazina nafasi katika dunia ya sasa.
Wewe ni supporter wa chattle man! Unyonge anatupa yeye, na anatunyonga balaa!Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Aibuuu.MENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
kusanyiko la kusomba watuMENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Kama watangaza uhalisia chadema kidedea kwani maisha yamekuwa magumuMENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Tegemeo pekee la ccm ni watu hopeless kama Dr Mahera wa Nec.MENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Mabeberu ni watu gani?Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P
Sawa ngosha mchumia tumbo kitaeleweka maana utakuwa katibu tawala kwimbaMENGELENI KWETU,
Mkuu MENGELENI KWETU , unaweza kuchangia bila kutukana watu...
Just imagine na mtu aseme Chadema ni kusanyiko la ...
Tukiacha siasa za uongo uongo huku mitandaoni, tuje kwenye siasa za ukweli on the ground, kati ya kusanyiko la CCM na kusanyiko la Chadema, lipi ni kusanyiko la... kiukweli ukweli?.
Ili kulijua kusanyiko la... kiukweli ukweli, subiria matokeo ya tarehe 28 October, nitakukumbusha
P
Barrick, Accasia?WaChina sio mabeberu, ni marafiki zetu.
P
wakati yuko LEAT alifanya kazi gani?!? nenda kule makampuni makubwa ya kuchimba dhahabu yalipokuwa yanaingia,alitetea mahakamani wananchi wengi tu tena bure kabisa,Paasi utagubonile u gwanuyu??!!??Supporters wa mabeberu tangu lini akawajali wanyonge?.
P