Uchaguzi 2020 Mwenyekiti na Katibu Mwenezi wako tunawaomba sana acheni kutufokea

Mkuu Matola , kiukweli, napenda sana watu wanao argue objectively kwa facts kama wewe kuwa hali halisisite sio nzuri!, kwasababu hii momentum of Tundu Lisu amegeuza upepo na unavuma upande wake na analitawala jukwaa na wananchi wanamwelewa.

Sijui ni members wangapi humu jf wamewahi kushiriki uchaguzi wakiwa front, huo upepo usikuzuzue ukidhani ni ushindi, hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya mijini, sio kura, kura halisi za ushindi ziko vijijini ambako mgombea wenu ameshindwa kufika.

Kitu ambacho nakikubali kuhusu TL ni mzuri kuongea na analimiliki jukwaa, tena kwa msiojua, mimi ni miongoni mwa tulioshauri
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Ushindi wa uchaguzi sio wingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni ya mijini!.
Subiria hiyo tarehe 28, utashangaa na hutaamini kitachotokea, sasa ili kuzuia kelele za kuibiwa kura,
nimeshauri
Uchaguzi 2020 - Ili kuondoa kelele za kutotendewa haki, nawashauri CHADEMA na ACT wekeni Mawakala kila Kituo ili kujiridhisha, Uchaguzi Mkuu ni huru na wa haki

Kama ushindi ni makundi ya watu, saa hizi EL ndie angekuwa ikulu!.
Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…