Uchaguzi 2020 Mwenyekiti NEC: Uteuzi wa wagombea Urais utafanyika tarehe 25/08/2020 kwa wale wenye Sifa!

De
Delete ccm Oct 28
 
Form anapewa yeyote atakaye pitishwa na chama chake ,ata wewe Kama hauna sifa chama chako kikikupitisha Basi unachukua form,.kazi inabaki kwao kuangalia sifa zao
Ok mkuu nafikiri ni vyema basi mapema tume itujulishe watanzani ni sifa gani wanazitakana na ambazo hawazitaki ambazo zitamuengua mgombea yeyote ili ziwe wazi
 
Nafikiri ni wakati muafaka wa kumchuja jiwe hapo, majaji wanatakiwa kuwa makini kabisa na hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…