ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Hoja zimeshakauka umebaki kubwabwaja tu.Sisi watanzania tunaongozwa na rais mwenye akili timamu kabisa! Dr John Pombe Magufuli,
Nyie mnaoongozwa na rais kichaa bila shaka vichwa vyenu si tu ni vichaa bali vichwa vyenu mmejaza mafi
Ndivyo mlivyojipanga bwasheee?Lisu out
We chako umejaza gunia la bangi si bure afu utakuwa na kibamia si kwa majibu haya dume zima huna hata hayaSisi watanzania tunaongozwa na rais mwenye akili timamu kabisa! Dr John Pombe Magufuli,
Nyie mnaoongozwa na rais kichaa bila shaka vichwa vyenu si tu ni vichaa bali vichwa vyenu mmejaza mafi
Kumbe ni mmama basi ni wale wacheza vigodoro wapate hela ya kula na wanaolewa na kuachika kila leoUnaliota hilo kuliko umuotavyo mumeo. Umechemka bibie!
Mapungufu haya ya sheria zetu Hizi za uchaguzi ndio hutumika kama mbeleko ya kuibebea CCM! Wagombea wameshateuliwa, wakachujwa na kupitishwa na vikao vyote vikuu vya chama haya mambo ya kuanza kuteuliwa tena na tume ya uchaguzi! Hapa nafikiri NEC ilistahili tu kuwa chombo cha kuwathibitisha na si kuanza kuwateua tena! Hapa kuna shida kubwa inayoonekana waziwazi hasa ukizingatia watendaji wote wa tume yetu ya uchaguzi wanateuliwa na Rais ambaye pia mmoja wa washindani wanaowania kuteuliwa na tume hiyoiyo!
mkuu ukumbuki maneno ya mS
Sifa zipi zipi mbona hazitaji ?Ajichanganye aone ,mwaka huu hamtaamini ,vipi mbatizaji mwaka huu kura za Maoni ubunge ccm kwenu huko umepita au umetemwa Kama 2015?
mkuu umeandika vizuri ,jamii forum raha sana yani ,binafsi mimi bado naamini wagombea wote wa vyama vyoteMapungufu haya ya sheria zetu Hizi za uchaguzi ndio hutumika kama mbeleko ya kuibebea CCM! Wagombea wameshateuliwa, wakachujwa na kupitishwa na vikao vyote vikuu vya chama haya mambo ya kuanza kuteuliwa tena na tume ya uchaguzi! Hapa nafikiri NEC ilistahili tu kuwa chombo cha kuwathibitisha na si kuanza kuwateua tena! Hapa kuna shida kubwa inayoonekana waziwazi hasa ukizingatia watendaji wote wa tume yetu ya uchaguzi wanateuliwa na Rais ambaye pia mmoja wa washindani wanaowania kuteuliwa na tume hiyoiyo!
sasa mkuu kwani katika kugombea urais , wanaomtahin mgombea ni tume au ni wananchi , maana hao ndo wana majibu hivyo basi wagombea wote hata kama wako hamsini vyema wawe cleared ili wakafanye mtihani huko kwa wananchi na majibu watayakuta huko ,Hiyo form ni kama Tender Documents, unanunua na kwenda kujaza particulars and then NEC wanakaa kama board kuangalia kama kila aliyeomba anakidhi vigezo ambavyo vipo kisheria. Usipompa mgombea form Kwa kuhisi Hana vigezo ni sawa na kumnyima mtahiniwa Question paper kisa tuu unajua/hisi hawezi faulu mtihani.
Kissu outNi matumaini yangu kila mgombea ambae amechukua form ana sifa kama hana sifa why wampa form
Sifa kwa mujibu wa SheriaForm anapewa yeyote atakaye pitishwa na chama chake ,ata wewe Kama hauna sifa chama chako kikikupitisha Basi unachukua form,.kazi inabaki kwao kuangalia sifa zao
Jaji hatma ya Tanzania ipo mikononi mwako...timiza wajibu wako kwa HAKI taifa litakuinua..
Vinginevyo....!! sisi hatutakiwepo huko utakapokuwa unakwenda!!
Wananchi ni kama waajiri tuu ..Tume inawaperekea wananchi waomba Ajira wenye vigezo vinavyokubarika kutokana na Sheria zilizopo..Kila anayeteuliwa na Tume anakua amekidhi vigezo vyote vya kuwa Rais wa JMT.. HOWEVER kuna watakaokua na sifa za ziada, wananchi ndio wenyewe wataamua ni Nani wampe Ajira..NOTE: ni vigumu Sana mwananchi wa kule Lupaso au Rulenge Ku verify credentials kama vile vyeti ,maadili na Elimu ya mwombaji, so NEC ndio inafanya mchujo wa awali ili kuwapa waajiri Cream na kuweka pumba pembeni... Waingereza wanasema Guided Democracy.mkuu ukumbuki maneno ya m
mkuu umeandika vizuri ,jamii forum raha sana yani ,binafsi mimi bado naamini wagombea wote wa vyama vyote
sasa mkuu kwani katika kugombea urais , wanaomtahin mgombea ni tume au ni wananchi , maana hao ndo wana majibu hivyo basi wagombea wote hata kama wako hamsini vyema wawe cleared ili wakafanye mtihani huko kwa wananchi na majibu watayakuta huko ,
Kwa Tume hii ya uchaguzi ambayo imewekwa MFUKONI na Rais, tutarajie viroja vingi sana.Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Jaji Kaijage amesema uteuzi wa wagombea Urais wa JMT utafanyika tarehe 25/08/2020.
Jaji Kaijage amesisitiza kuwa ni wagombea wenye sifa ndio watakaoteuliwa kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.
Chanzo: ITV habari!