Ana weza kununuliwa vile vile... Ila ni mapenzi ya Mo...Mo hana lolote, anataka wakurugenzi mazezeta wanaomuunga mkono ili apore club for free. Nkwabi yuko pale kulinda 51% ya hisa! kimsingi ndiye anayepaswa kuwa mkurugenzi wa bodi! To hell with MO!
KIKWANGO ni nini?Kumekuwa na sintofahamu ndani ya uongozi wa Simba baina ya Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedi Mkwabi
Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Mo hafurahishwi na utendaji kazi wa Mkwabi ambapo amemtuhumu kuhujumu baadhi ya mipango ya klabu
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Mo ameendelea kuweka jumbe tata ambazo zinaashiria kutofurahia kufanya kazi na baadhi ya viongozi wa Simba
Inaelezwa Mo ametoa masharti kuwa kati yake au Mwenyekiti, mmoja anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ili mambo yaendelee
[http://phpstack-189796-562565]
Inaonekana hujui chochote kuhusu biashara na uwekezaji?!! Kwa kukupa taarifa kidogo ni kwamba Simbasc upande wa wanachama,wana hisa jumla 51%lakini walizo kubaliana kwa sasa kuziingiza kwenye uwekezaji ni 11%,na mgawanyo wake uko hivi :waasisi wa club wamepewa 1%wanachama wengine ni10%.mwekezaji yeye anabaki na asilimia zake 49.ndio maana unaona kwa sasa mwenyekiti wa board ni mwekezaji maana kwa sasa yeye ndo ana hisa nyingi kwa sasa.na katika biashara ya hisa ni ngumu kupora hisa kama unavyofikilia!!unaporaje kwa mfano?!! Nafikili wengi hawaelewi biashara na uwekezaji.Mo hana lolote, anataka wakurugenzi mazezeta wanaomuunga mkono ili apore club for free. Nkwabi yuko pale kulinda 51% ya hisa! kimsingi ndiye anayepaswa kuwa mkurugenzi wa bodi! To hell with MO!
Inaonekana hujui chochote kuhusu biashara na uwekezaji?!! Kwa kukupa taarifa kidogo ni kwamba Simbasc upande wa wanachama,wana hisa jumla 51%lakini walizo kubaliana kwa sasa kuziingiza kwenye uwekezaji ni 11%,na mgawanyo wake uko hivi :waasisi wa club wamepewa 1%wanachama wengine ni10%.mwekezaji yeye anabaki na asilimia zake 49.ndio maana unaona kwa sasa mwenyekiti wa board ni mwekezaji maana kwa sasa yeye ndo ana hisa nyingi kwa sasa.na katika biashara ya hisa ni ngumu kupora hisa kama unavyofikilia!!unaporaje kwa mfano?!! Nafikili wengi hawaelewi biashara na uwekezaji.
Poleni kiongozi hii ndio Tz yetu sio vibaya kujipanga upya.Nimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
Hata mimi nimeshangaaa sana Tajiri kama yeye analialiaa mitandaoni. ? .kama ana maanisha si aite waandishi aeleze mbivu na mbichi.Nimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
Akina Nkwabi Wameivujisha Kwa Shaffih, Ndo chanzo cha Nae Kuweka Mambo Hadharani mdogo mdogo ili Watu Wajue nini Kinaendelea,.Nimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
umeshawahi kuingia kwenye vikao ukasikia Mo anataka Club for free au ndiyo Mzee Kilomoni anawajaza??Mo hana lolote, anataka wakurugenzi mazezeta wanaomuunga mkono ili apore club for free. Nkwabi yuko pale kulinda 51% ya hisa! kimsingi ndiye anayepaswa kuwa mkurugenzi wa bodi! To hell with MO!
Binafsi nimeshangaa mtu kama Mo kulia lia kwenye mitandao. Ama kweli pesa sio kila kitu. Mo ana akili za kitoto na nimefikiria bila pesa za urithi asingeweza kusimama yeye kama Yeye.Nimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
Kweli kabisa mo analia lia mtandaoniKama waasisi wamepewa 1% na wanachama 10% na yeye MO(mwekezaji) 49% hizo % zingene ziko wap?