ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Kumekuwa na sintofahamu ndani ya uongozi wa Simba baina ya Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedi Mkwabi
Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Mo hafurahishwi na utendaji kazi wa Mkwabi ambapo amemtuhumu kuhujumu baadhi ya mipango ya klabu
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Mo ameendelea kuweka jumbe tata ambazo zinaashiria kutofurahia kufanya kazi na baadhi ya viongozi wa Simba
Inaelezwa Mo ametoa masharti kuwa kati yake au Mwenyekiti, mmoja anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ili mambo yaendelee
[http://phpstack-189796-562565]
Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Mo hafurahishwi na utendaji kazi wa Mkwabi ambapo amemtuhumu kuhujumu baadhi ya mipango ya klabu
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Mo ameendelea kuweka jumbe tata ambazo zinaashiria kutofurahia kufanya kazi na baadhi ya viongozi wa Simba
Inaelezwa Mo ametoa masharti kuwa kati yake au Mwenyekiti, mmoja anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ili mambo yaendelee
[http://phpstack-189796-562565]