Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Africa Lyon ilimshinda akamuuzia Zamunda,MO anataka atangaze Biashara kupitia Simba sasa naona wameanza kumshitukia baadhi ya mamboMo aanzishe team yake binafsi. Aachane na hiyo team ya waswahili.
Le profeser kaja.Sidhani kama unanifikia kwa ELIMU ndugu!
Baba yake Gulam tajiri kuliko AzimKutegemea urithi kwa mjomba ni shida sana.
Ukiona analalamika maji ya Shingo kahata atalipwa na naniNimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
Mwenyekiti atakua mamluki huyoUnamkana mwenyekiti wako? Jangwani panawanyima usingizi sana!
Moo ajabalehe bado..huwezi ukawa na pesa ukawa unalalamika kwa mafumbo kama mama ashura muuza mihogo buster
figisu zilianzia hapa.Kumekuwa na sintofahamu ndani ya uongozi wa Simba baina ya Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedi Mkwabi
Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Mo hafurahishwi na utendaji kazi wa Mkwabi ambapo amemtuhumu kuhujumu baadhi ya mipango ya klabu
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Mo ameendelea kuweka jumbe tata ambazo zinaashiria kutofurahia kufanya kazi na baadhi ya viongozi wa Simba
Inaelezwa Mo ametoa masharti kuwa kati yake au Mwenyekiti, mmoja anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ili mambo yaendelee
[http://phpstack-189796-562565]