Mwenyekiti Simba atajwa kuwa kikwazo kwa MO

Mwenyekiti Simba atajwa kuwa kikwazo kwa MO

Moo ajabalehe bado..huwezi ukawa na pesa ukawa unalalamika kwa mafumbo kama mama ashura muuza mihogo buster
 
Huyu jamaa vp. Si aanzishe timu yake Mo FC amilikia 100% kama azam anavyofanya.
 
Nimemdharau sana Dewji,hata kama ndiyo kuna hujuma,reaction yake mitandaoni ni ya kitoto sana. Kiongozi aliyeiva hawezi kuleta mambo ya taasisi mitandaoni
Ukiona analalamika maji ya Shingo kahata atalipwa na nani
 
Hiyo.ndio best option, yeye sio mjinga, kwa vyovyote vile inaonyesha kuna mkono wa jiwe, sasa vita ya namna hiyo huwezi pigana kimya kimya, maana kama aliweza kunyamaza kutekwa kwake jiulize je hili kwanini kaamua kutoka public.
Moo ajabalehe bado..huwezi ukawa na pesa ukawa unalalamika kwa mafumbo kama mama ashura muuza mihogo buster
 
Kumekuwa na sintofahamu ndani ya uongozi wa Simba baina ya Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedi Mkwabi

Taarifa za ndani zimebainisha kuwa Mo hafurahishwi na utendaji kazi wa Mkwabi ambapo amemtuhumu kuhujumu baadhi ya mipango ya klabu

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Mo ameendelea kuweka jumbe tata ambazo zinaashiria kutofurahia kufanya kazi na baadhi ya viongozi wa Simba

Inaelezwa Mo ametoa masharti kuwa kati yake au Mwenyekiti, mmoja anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ili mambo yaendelee

[http://phpstack-189796-562565]
figisu zilianzia hapa.
 
Back
Top Bottom