Mwenyekiti UVCCM Taifa Kawaida: Wapuuzeni Wanaopotosha Mkataba wa Bandari

Mwenyekiti UVCCM Taifa Kawaida: Wapuuzeni Wanaopotosha Mkataba wa Bandari

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa.

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-06-12 at 18.56.05.mp4
    20.2 MB
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Vijana ambao AKILI HAKUNA kama hawa wa UVCCM tunajadili hoja zao za kijinga na kipumbavu kwa nn?
 
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Halafu huyu dogo,nahisi anaweza kuwa Mwenyekiti wa Vijana wa hovyo kushinda watangulizi wake wote!!
 
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Yeye ni Mzanzibar au Mtanganyika?
 
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.

Sijawahi kushudia kiongozi wa UVCCM mwenye weledi wala busara. Lakini huyu naona ni punguani kuliko wote waliotangulia. Tumpuuze huyu, haelewi chochote, hana hadhi ya ujinga wake kujadiliwa hapa JF.
 
Amejibu hoja za wapotoshaj au ndiyo amepotosha zaidi, huyu mwenyekiti wa hovyo Kwa Uvccm ni mzigo. Wamekaa upande wa wakizungumziwa tu unawakuta wamekumbatia mlango wa ukanda na udini.
 
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Mwambieni huyo mwenyekiti uvccm hajielewi. Mnauza Bandari Kwa wanyonyaji?
 
MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA: WAPUUZENI WANAOPOTOSHA MKATABA WA BANDARI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa,

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Anaujua ukweli sema anatetea msosi
 
Tangu lini wapiga domo wa uvccm wakawa na akili,hao ni tp ya watawala akili zao za kushikiwa,kesho sa100 akibadili mawazo na wao wataunga mkono yani ni hopeless kabisa.
 
Huyo taga akawaeleze wazazi/walezi wake sisi wengine uelewa wetu ni mkubwa kuliko uzao wake wote.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Ali Kawaida, amesema kupitia ushirikiano ulioanzishwa na Serikali ya Tanzania katika maeneo ya bandari, utasaidia kuondoa changamoto za gharama na ufanisi wa bandari ya Dar es salaam, unaopelekea wafanyabiashara kupitisha bidhaa zao kwa gharama kubwa au kutumia bidhaa zinazosafirishwa na nchi shindani.

Kawaida amebainisha hilo leo jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa babari kuhusiana a masuala mbalimbali yaliyoainishwa katika makubaliano baina Serikali ya Tanzania na Dubai, kwa lengo la kupunguza upotoshaji unaodaiwa kufanywa na watu mbalimbali.

Mwenyekiti huyo, amesema baadhi ya maeneo ambayo yalipotoshwa ni pamoja a muda wa Mkataba husika, bandari za Tanzania kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai na Kampuni ya DP World, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania kufa, Bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa Serikali ya Dubai, Usalama na Ulinzi wa bandari unakabidhiwa kwa wawekezaji pamoja wazawa kupoteza ajira.

"Kwa sasa, tuko kwenye hatua ya kwanza ya Makubaliano baina ya Serikali mbili. Makubaliano hayo yana mawanda mapana sana (wide scope) ya maeneo ya mashirikiano baina ya Serikali mbili. Kufuatia Kuridhiwa kwa Azimio na Bunge, Serikali itaendelea na hatua ya pili ya kuandaa Mkataba wa Nchi Mwenyeji na baadaye Mikataba Mahususi ya Utekelezaji wa Utoaji wa Huduma, Uboreshaji, Uendelezaji na Undelezaji, kiwango cha uwekezaji kitakachowekezwa, muda wa mikataba, mapato ya TPA, vigezo na viashiria vya utendaji, wajibu wa pande mbili na masuala mengine yote mahsusi ya mkataba yatafafanuliwa.

"Naomba kutumia fursa hii kuuomba umma kupuuza upotoshaji unaofanyika kwa sababu hauna nia njema kwa Serikali, watuamiaji wa bandari zetu na wananchi wote wa Tanzania. Upotoshaji huu unalenga kudhooofisha juhudi za Serikali katika kuvutia uwekezaji, kuongeza fursa za ajira pamoja na kufungua fursa za kiuchumi zenye manufaa katika Sekta nyingi ikiwemo ya usafirishaji, uzalishaji, viwanda, afya na elimu," ameswma Kawaida.
Kenge huyu
 
Back
Top Bottom