Mwenyekiti UWT Taifa Aongoza Kongamano la Mafunzo ya Matokeo ya Sensa

Mwenyekiti UWT Taifa Aongoza Kongamano la Mafunzo ya Matokeo ya Sensa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MWENYEKITI WA UWT TAIFA AONGOZA KONGAMANO LA MAFUNZO YA MATOKEO YA SENSA, KAHAMA, SHINYANGA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Marry Pius Chatanda ameongoza Kongamano la Mafunzo ya Matokeo ya Sensa kwa Makundi mbalimbali lililofanyika Julai 1,2024.

Kongamano hilo liliandaliwa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Santiel Kirumba lililofanyika Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kutoa Mwelekeo wa CCM kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu.

Mbunge Santiel amesema kuwa Kongamano hilo limejumuisha viongozi wa CCM na Serikali wakiwemo Wakurungezi wote wa Halmashauri (Shinyanga), Wabunge, Watendaji, Mama Lishe, Wajasiriamali, Waponda Kokoto, Walimu, Manesi, Maaskari, Watu wenye ulemavu.

WhatsApp Image 2024-07-02 at 19.32.48.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-02 at 19.32.49.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-02 at 19.32.50.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-02 at 19.32.51.jpeg
WhatsApp Image 2024-07-02 at 19.32.51.jpeg
IMG-20240702-WA0022.jpg
IMG-20240702-WA0016.jpg
IMG-20240702-WA0018.jpg
 

Attachments

  • IMG-20240702-WA0021.jpg
    IMG-20240702-WA0021.jpg
    77.5 KB · Views: 3
  • IMG-20240702-WA0019.jpg
    IMG-20240702-WA0019.jpg
    119.4 KB · Views: 3
  • IMG-20240702-WA0020.jpg
    IMG-20240702-WA0020.jpg
    118.2 KB · Views: 2
Siyo sawa. Tujue kutofautisha mambo ya chama na serikali. kongamano ni la chama au serikali? Lakini kwa vile sisi ni matutusa yote tunaona kheri.
 
Back
Top Bottom