Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo wakati wa CHADEMA kutoka huko mafichoni na kuanza kupiga jaramba mdogo mdogo.
Hawa jamaa wakiachiwa uwanja patakucha kwa kweli.
Yaani hata habari ndogo za bavicha unatuletea hapa, kweli mzee umeishiwa source kabisa
Huu ndo wakati wa CHADEMA kutoka huko mafichoni na kuanza kupiga jaramba mdogo mdogo.
Hawa jamaa wakiachiwa uwanja patakucha kwa kweli.
😆😆😆Polisi wetu katika ubora wao wa kipekee!!
Kwa nini apige picha gari ya DG wa Tiss? Alikuwa na mpango gani? Chadema wanamakundi ya magaidi.Hawawezi kuiua CDM hivi karibuni kama wanavyodhani ikiwa bado inawatesa namna hii, sasa ni dhahiri CCM hawalali CDM inawafanya wakeshe.
Vyema wakumbuke hao wanaowatesa namna hiyo kila siku ni watoto wa watanzania wenzao, na hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani, ni yetu sote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wametengeneza perdiem tu hapo, dah
Vipi naye ana ganda?
Nasikia inakufa October mkuu!Hawawezi kuiua CDM hivi karibuni kama wanavyodhani ikiwa bado inawatesa namna hii, sasa ni dhahiri CCM hawalali CDM inawafanya wakeshe.
Vyema wakumbuke hao wanaowatesa namna hiyo kila siku ni watoto wa watanzania wenzao, na hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani, ni yetu sote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi Dada mzuri?Polisi wakibongo wana mambo ya kitoto sana