Mwenyekiti wa BAVICHA Kilimanjaro aliyeshikiliwa kituo kikuu cha Polisi Moshi asafirishwa kuelekea Dar es Salaam

Mwenyekiti wa BAVICHA Kilimanjaro aliyeshikiliwa kituo kikuu cha Polisi Moshi asafirishwa kuelekea Dar es Salaam

Kwa nini apige picha gari ya DG wa Tiss? Alikuwa na mpango gani? Chadema wanamakundi ya magaidi.
Uzuri TISS ukiwachokonoa huwa hawana haraka ni mwendo mdogomdogo
Hapo bado hajakutana na wenyewe wanaojua mahojiano hao waliomhoji ni receptionst tu wa polisi wakaa counter mziki wenyewe bado mbichi kabisa

atajieleza kilichomsukuma apige kituo cha jeshi cha TISS SABABU ALIPO MKUU TISS ni kituo cha kijeshi na vyote alivyonavyo ni vifaa vya kijeshi ikiwemo magari nk kwa nini hakupiga miti ya upareni au mawe ya upareni nini kilimsukuma apige mahali alikuwa mkuu wa TISS na Alivyonavyo nk

Nadhani kama hajawahi fika Dar atafurahi kufika ila akiondoka Dar baada ya mahojiano hata asipochukuliwa hatua zozote akaachwa arudi upareni hata arudishwe kwa ndege yake binafsi haji kurudi Dar tena na akisikia watu wanataja dar lazima wazimu umpande kwa kuweweseka
 
Ndio mjue Serikali ina bajeti ya kuchezea chezea na kuna watu hapa nchini wanaoga pesa ya serikali. Hicho kiwese cha kutoka usangi hadi dsm kisa tu mtu kapiga picha ya gari ya ofsa. Hio pesa ya kiwese mngewapa dogo dogo centre wangekula wali nyama na kufurahi.
Kiufupi ya all useless. Ila ndio hivyo Mungu kawainua mmefika hapo mlipo. Japo mtashushwa tu

 
Hawawezi kuiua CDM hivi karibuni kama wanavyodhani ikiwa bado inawatesa namna hii, sasa ni dhahiri CCM hawalali CDM inawafanya wakeshe.

Vyema wakumbuke hao wanaowatesa namna hiyo kila siku ni watoto wa watanzania wenzao, na hii nchi sio ya kikundi cha watu fulani, ni yetu sote.



Sent using Jamii Forums mobile app
una uchungu sana wewe [emoji23][emoji23] jikinge na Corona uendelee kuona mengi hisia hazitakusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😆😅😂 Huyu dogo hajitambui?
chadema vijana hawajitambui
ona huyu mwingine aliyevaa tshirt ya chadema mfuasi wa chadema India akishughulikiwa na polisi wa India na bavicha wenzie baada ya kuwatukana na kuwaita polisi wa india POLICECCM kwa kihindi

 
Uzuri TISS ukiwachokonoa huwa hawana haraka ni mwendo mdogomdogo
Hapo bado hajakutana na wenyewe wanaojua mahojiano hao waliomhoji ni receptionst tu wa polisi wakaa counter mziki wenyewe bado mbichi kabisa

atajieleza kilichomsukuma apige kituo cha jeshi cha TISS SABABU ALIPO MKUU TISS ni kituo cha kijeshi na vyote alivyonavyo ni vifaa vya kijeshi ikiwemo magari nk kwa nini hakupiga miti ya upareni au mawe ya upareni nini kilimsukuma apige mahali alikuwa mkuu wa TISS na Alivyonavyo nk

Nadhani kama hajawahi fika Dar atafurahi kufika ila akiondoka Dar baada ya mahojiano hata asipochukuliwa hatua zozote akaachwa arudi upareni hata arudishwe kwa ndege yake binafsi haji kurudi Dar tena na akisikia watu wanataja dar lazima wazimu umpande kwa kuweweseka
Mtu na akili zako timamu kabisa unapiga picha gari ya Tiss ,nani kakutuma kama si uwendawazim nin! Hivi vyama sijui havifundishi maadili kwa vijana wao! Huyo ahojiwe effectively.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi wakibongo wana mambo ya kitoto sana
Sio kosa lao wasipotenda ufukuzwa kazi.Kazi ya polisi ni kutii maagizo ya wanasiasa uruhusiwi kuhoji au kupinga.Viongozi dhaifu utumia polisi kujibu hoja
 
Back
Top Bottom