Mwenyekiti wa BAVICHA, Mahinyila azuiwa mlangoni na kupigwa " Tanganyika Jeki" na Red brigade alipokuwa anaingia Kwenye Mkutano wa BAWACHA na Lissu!

Mwenyekiti wa BAVICHA, Mahinyila azuiwa mlangoni na kupigwa " Tanganyika Jeki" na Red brigade alipokuwa anaingia Kwenye Mkutano wa BAWACHA na Lissu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lissu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni 😂😂
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni 😂😂
Juma Lokole wa JF katika moja na mbili zako.
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni 😂😂
hata hivyo,
huna kadi ya mualiko, unakwenda wapi kwa mfano kwenye jambo muhimu kama uchaguzi ndrugo zango?

Msibani kwa magufuli pale Jamuhuri Dodoma Paul Makonda aliwahi kuzuiliwa kuingia geti na jukwaa kuu kwasabb hakuwemo kwenye listi ya waliostahili kupitia na kukaa huko.

Tupunguze vimbelembele vijana japo jambo ni la kawaida 🐒
 
Mwenyekiti wa Bavicha Wakili Msomi Mahinyila amejikuta akipigwa Tanganyika Jeki na Kikosi cha Ulinzi wa Chadema kinachojulikana kama HAMASA

Ikumbukwe hayati Mohamed Kibao ndio alikuwa mkuu wa Kikosi hiki

Wakili Msomi Mahinyila alikuwa ameongozana na Mh Tundu Lisu wakiingia Kwenye Mkutano wa Bawacha Kwa mujibu wa Nafasi zao za Uongozi

Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema Mh Shija amemtaka Katibu mkuu Mh John Mnyika kulitolea Ufafanuzi wa haraka jambo hili

Ahsanteni sana

Kule Tanga Mrema wa Nccr Mageuzi alikatwa mtama mkutanoni 😂😂
Picha iko wapi?
 
hata hivyo,
huna kadi ya mualiko, unakwenda wapi kwa mfano kwenye jambo muhimu kama uchaguzi ndrugo zango?

Msibani kwa magufuli pale Jamuhuri Dodoma Paul Makonda aliwahi kuzuiliwa kuingia geti na jukwaa kuu kwasabb hakuwemo kwenye listi ya waliostahili kupitia na kukaa huko.

Tupunguze vimbelembele vijana japo jambo ni la kawaida 🐒
Usiwage Mjinga Wewe 😂😂
 
Back
Top Bottom