Mwenyekiti wa BAWACHA Temeke ashikiliwa siku 4 bila kuelezwa kosa

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Jeshi la Polisi linamshikilia Mwenyekiti wa BAWACHA Wilaya ya Temeke, Bi. Neema Mwakipesile kwa zaidi ya siku 4 bila kumueleza kosa lake.

Taarifa ya BAWACHA inaeleza kuwa tangu kushikiliwa kwake, Mwenyekiti huyo amezuiwa kuonana na ndugu zake, viongozi wa chama, n ahata kupelekewa chakula.

 
Ukweli ni kwamba, bora upumbavu wa CCM kuliko upumbavu wa Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…