Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Susan Lyimo: CHADEMA Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti wote ni wanaume. Hii haileti picha nzuri!

Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Susan Lyimo: CHADEMA Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti wote ni wanaume. Hii haileti picha nzuri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mambo yameanza kuchangamka huko CHADEMA.

Akiwa anazungumza leo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mwenyekiti wa BZECHA ametangaza kwamba kwenye Uchaguzi ujao wa CHADEMA anategemea kuona kwenye zile nafasi sita za juu za kwenye chama basi mwanamke pia anakuwepo

"Tunategemea Uchaguzi ujao, katika nafasi sita za juu kabisa za chama tuwe na wanawake kwa sababu chama hiki ni kikubwa lakini ukiangalia Mwenyekiti, Makamu wenyeviti wote wawili, Katiibu Mkuu na Manaibu wote ni wanaume. Hivyo Mheshimiwa Mwenyekiti hii haileti picha nzuri sana na tunakuomba sana sisi kinamama tunaweza na ndio sababu unaona umati huu hapa"

 
Wakuu,

Mambo yameanza kuchangamka huko CHADEMA.

Akiwa anazungumza leo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mwenyekiti wa BZECHA ametangaza kwamba kwenye Uchaguzi ujao wa CHADEMA anategemea kuona kwenye zile nafasi sita za juu za kwenye chama basi mwanamke pia anakuwepo

"Tunategemea Uchaguzi ujao, katika nafasi sita za juu kabisa za chama tuwe na wanawake kwa sababu chama hiki ni kikubwa lakini ukiangalia Mwenyekiti, Makamu wenyeviti wote wawili, Katiibu Mkuu na Manaibu wote ni wanaume. Hivyo Mheshimiwa Mwenyekiti hii haileti picha nzuri sana na tunakuomba sana sisi kinamama tunaweza na ndio sababu unaona umati huu hapa"

Mapandikizi ndio haya sasa.

Awamu hii yatajitokeza kwa sana.

Chadema hakuna form Moja. Na hivyo vyeo ni vya kuchaguliwa sio Uteuzi.

Aende ccm huko wanakoteuana bila vigezo zaidi ya....
.
 
Huyo Suzan Lymo amewahi kuyasema hayo kwa Mbowe?

Ni lini katika kipindi cha miaka 21 ya Mbowe, CHADEMA imewahi kuwa na mwanamke ktk nafasi ya juu? au ni ktk kujaribu kumportray Lissu kama asiyependa kufanya kazi na wanawake?.

Sijawahi kusikia Lissu akisema wanawake wasigombee nafasi za chama!
 
We don't want to end up like them ,where leaders are chosen by their sex and not their qualifications.


Hizo nafasi ni z akugombea, mwenye Uwezo wa kugombea, agombee.

Hata hiyo CCM, hajawahi kutokea Mwenyekiti au Makamu Mwenyekiti wa CHAMA Mwanamke, Toka kuasisiwa kwake.

Ni CCM tu anayetembelea Kifo Cha JPM.
 
Wakuu,

Mambo yameanza kuchangamka huko CHADEMA.

Akiwa anazungumza leo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mwenyekiti wa BZECHA ametangaza kwamba kwenye Uchaguzi ujao wa CHADEMA anategemea kuona kwenye zile nafasi sita za juu za kwenye chama basi mwanamke pia anakuwepo

"Tunategemea Uchaguzi ujao, katika nafasi sita za juu kabisa za chama tuwe na wanawake kwa sababu chama hiki ni kikubwa lakini ukiangalia Mwenyekiti, Makamu wenyeviti wote wawili, Katiibu Mkuu na Manaibu wote ni wanaume. Hivyo Mheshimiwa Mwenyekiti hii haileti picha nzuri sana na tunakuomba sana sisi kinamama tunaweza na ndio sababu unaona umati huu hapa"

Hatuchagui viongozi by sex, bali kwa uwezo, mwaga sera watu wakuelewe gombea upate nafasi
No free rides here
 
Wakuu,

Mambo yameanza kuchangamka huko CHADEMA.

Akiwa anazungumza leo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mwenyekiti wa BZECHA ametangaza kwamba kwenye Uchaguzi ujao wa CHADEMA anategemea kuona kwenye zile nafasi sita za juu za kwenye chama basi mwanamke pia anakuwepo

"Tunategemea Uchaguzi ujao, katika nafasi sita za juu kabisa za chama tuwe na wanawake kwa sababu chama hiki ni kikubwa lakini ukiangalia Mwenyekiti, Makamu wenyeviti wote wawili, Katiibu Mkuu na Manaibu wote ni wanaume. Hivyo Mheshimiwa Mwenyekiti hii haileti picha nzuri sana na tunakuomba sana sisi kinamama tunaweza na ndio sababu unaona umati huu hapa"

Kwani nafasi hizo ni za viti maalum? Si ni suala.la kuchukua form na kugombea? Kama wanawake hawajachujua form na kugombea nani wa kumlaumu? Haya mambo mbona hayakuwepo wakati wa Mbowe au Mbowe amewafanyia mambo ya Egonga Baltazaar
 
Hata CCM Samia alidondokewa dodo tu hakujawai kuwa na makamo wa mwenyekiti mwanamke
 
Wakuu,

Mambo yameanza kuchangamka huko CHADEMA.

Akiwa anazungumza leo kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mwenyekiti wa BZECHA ametangaza kwamba kwenye Uchaguzi ujao wa CHADEMA anategemea kuona kwenye zile nafasi sita za juu za kwenye chama basi mwanamke pia anakuwepo

"Tunategemea Uchaguzi ujao, katika nafasi sita za juu kabisa za chama tuwe na wanawake kwa sababu chama hiki ni kikubwa lakini ukiangalia Mwenyekiti, Makamu wenyeviti wote wawili, Katiibu Mkuu na Manaibu wote ni wanaume. Hivyo Mheshimiwa Mwenyekiti hii haileti picha nzuri sana na tunakuomba sana sisi kinamama tunaweza na ndio sababu unaona umati huu hapa"

Kwani walizuiwa kugombea?
 
Awe makini na kauli zake. Unaweza kuongea kwa nia njema ya kuhamasisha wanawake wagombee zaodi nafasi hizo lakini ikatafsiliwa kama anataka kupinga uongozi wa chama chake.

CDM wawe makini sana, mwenyekiti wa zamani lazima ameacha mapandikizi ya kutosha huko. Wanaweza kuwa na utii kwake kuliko hata chama.
 
Watu waliokuja CDM na mvua za mafuriko ya Lowassa watapinga na hili..

Huyo mama ni muhimili wa Chama, na anayopendekeza ni maoni yake na yanaweza fanyiwa kazi au la..

Sasa hata hili ni la kupinga?

Chama hakitengenezwi kwa kushindana pekee... Kuna nafasi za kutengenezwa chama kiwe na sura ya kitaifa.

Nimewahi kusema CDM haipo Copenhagen na mshindani wao ni CCM .. mnaokaza vichwa hamjui lolote zaidi ya kuhoroja hapa, na michango yenu ya buku buku...

Wanaosema mbona hivi mbona vile hawana busara tu... Mbona zipo nyingi sana

ACT wanafanya hivyo na CCM wanafanya hivyo.. asietaka huo ushauri ni zuzu.
 
Wanawake wanapenda kupewa badala washindane
 
Kwanini hakulisemea wakati mchakato wa uchaguzi aje kusema Leo? Huo ni uvurugaji wa viongozi.
 
Back
Top Bottom