Mwenyekiti wa Bodi Simba Jitafakari

Mwenyekiti wa Bodi Simba Jitafakari

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
Tuwe wakweli, Simba haina consistence kwenye uchezaji kiasi sisi kama mashabiki wa Simba kea msimu huu tunaishi kwa matumaini zaidi kuliko tunavyopaswa tuishi. Simba inaweza kucheza mpira kwa kiwango cha juu sana katika game A lakini ikaja kucheza mchezo mbovu usio mfanowe kwenye game B. Hili ni tatizo.

Kadhalika, katika kufuatilia kwangu soka, sijaona timu kubwa ikicheza kwa style ya Simba iliyotumia mwaka huu, kwamba kwa msimu mzima Simba haina 1st eleven wala supersub. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, plz chukua hatua au jitafakari. Tuambieni ukweli kuna shida gani hasa. Kama kuna tatizo la kifedha, tuambiwe Ili wanachama/ wapenzi na mashabiki tuchangie. Si ajabu kufanya hivyo.
 
Hapa hamna kocha ni takataka hii
Tuwe wakweli, Simba haina consistence kwenye uchezaji kiasi sisi kama mashabiki wa Simba kea msimu huu tunaishi kwa matumaini zaidi kuliko tunavyopaswa tuishi. Simba inaweza kucheza mpira kwa kiwango cha juu sana katika game A lakini ikaja kucheza mchezo mbovu usio mfanowe kwenye game B. Hili ni tatizo.

Kadhalika, katika kufuatilia kwangu soka, sijaona timu kubwa ikicheza kwa style ya Simba iliyotumia mwaka huu, kwamba kwa msimu mzima Simba haina 1st eleven wala supersub. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, plz chukua hatua au jitafakari. Tuambieni ukweli kuna shida gani hasa. Kama kuna tatizo la kifedha, tuambiwe Ili wanachama/ wapenzi na mashabiki tuchangie. Si ajabu kufanya hivyo.
 
Bora tu wamesajili wachezaji vimeo sana. Huyu Kocha naye wamemuokota na hana experience ya kubeba kombe sehemu yeyote.
 
Kawaida Sana....Kombe Linalohitajika ni La FA..Kwanini Ung'oe meno hapa.
 
Timu ya usajili Simba ndo inatuangusha maana inaonekana inasajili kwa bei kubwa ila mmmmh
 
Bora tu wamesajili wachezaji vimeo sana. Huyu Kocha naye wamemuokota na hana experience ya kubeba kombe sehemu yeyote.


Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Sioni shida kubwa upande wa wachezaji kwa maana ya vipaji. Ila naona shida ya wachezaji kutocheza kwa mfumo utadhani ni mashindano ya ndondo. Kuna clear weaknesses za kimafunzo kiasi wachezaji hawafungui, au skills za kugeuka wakiwa na mpira. Lakini pia kitendo cha kukosa nafasi nyingi za wazi, inaonyesha ni kama hawafundishi maeneo gani unatakiwa ufunge au utoe pasi kea mfungaji wa mwisho. Psychology ya wachezaji pia ni kama hawajui dhima na dhamana wakiyobeba kwa watanzania au mashabiki wao. Hatua zichukuliwe.
 
Sioni shida kubwa upande wa wachazaji kwa maana ya vipaji. Ila naona shida ya wachezaji kutocheza kwa mfumo utadhani ni mashindano ya ndondo. Kuna clear weaknesses za kimafunzo kiasi wachezaji hawafungui, au skills za kugeuka wakiwa na mpira. Lakini pia kitendo cha kukosa nafasi za wazi, inaonyesha ni kama hawafundishi maeneo gani unatakiwa ufunge au utoe paso. Psychology ya wachezaji pia ni kama hawajui dhima na dhamana wakiyobeba kwa watanzania au mashabiki wao. Hatua zichukuliwe.
Tuna wachezaji wa kawaida sana ndo level zao hizo. Huwezi kupata magoli kama una forward aina ya Mugalu na Kiungo kama cha Mkude na Kanoute
 
Sioni shida kubwa upande wa wachazaji kwa maana ya vipaji. Ila naona shida ya wachezaji kutocheza kwa mfumo utadhani ni mashindano ya ndondo. Kuna clear weaknesses za kimafunzo kiasi wachezaji hawafungui, au skills za kugeuka wakiwa na mpira. Lakini pia kitendo cha kukosa nafasi za wazi, inaonyesha ni kama hawafundishi maeneo gani unatakiwa ufunge au utoe paso. Psychology ya wachezaji pia ni kama hawajui dhima na dhamana wakiyobeba kwa watanzania au mashabiki wao. Hatua zichukuliwe.
Hakuna Timu Duniani inaweza kushinda mfululizo.muda wote ....kumbuka Barca ya kina Messi,Iniesta....Leo Iko wapi,mnawalaumu Simba kwakulinganisha na Yanga,maisha hayapo hivo...Angalia hata Ahly huwa Ina drop na Zamaleck inapanda...muwe waelewa
 
Yanga itatamalaki tu.Bilioni 350 za symbion zitatuyumbisha kwa miaka 10.Bado dili mpya!Mambo ni yanaenda kasi sana
 
Wachezaji wamelewa sifa. Wengine miongoni mwao hawana kiwango cha kuichezea Simba kwakweli
Sioni shida kubwa upande wa wachazaji kwa maana ya vipaji. Ila naona shida ya wachezaji kutocheza kwa mfumo utadhani ni mashindano ya ndondo. Kuna clear weaknesses za kimafunzo kiasi wachezaji hawafungui, au skills za kugeuka wakiwa na mpira. Lakini pia kitendo cha kukosa nafasi za wazi, inaonyesha ni kama hawafundishi maeneo gani unatakiwa ufunge au utoe paso. Psychology ya wachezaji pia ni kama hawajui dhima na dhamana wakiyobeba kwa watanzania au mashabiki wao. Hatua zichukuliwe.
 
Kwenye mpira wa miguu hakuna timu iliyowahi kuwa na consistence kwa miaka yote, lazima timu moja i drop ili nyingine ipande. Iyo ndo ladha ya soka mkuu
Bayern Munich anachukua Sasa taji miaka 10. Mfululizo

Juve alifika had mara 9

Celtics alifika karibu mara 10
 
Back
Top Bottom