Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Akili zimeanza kuwarudiTuliwaambia hapa baada ya kutolewa na Orlando ndipo akili zitaanza kuwarudia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zimeanza kuwarudiTuliwaambia hapa baada ya kutolewa na Orlando ndipo akili zitaanza kuwarudia.
Kwan hujui sahiv wenye nchi, ni wanazi wa Yanga, wanapeleka pesa tu pale.Yaani tutaumia sana ... Historia inaonyesha UFISADI UKITAMALAKI NA YANGA HUWA INAFANYA VIZURI!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Orlando pirates wanamtaka si wawape tu itakuwa wamepunguza mzigo na mashati yake meupe kila mechi.
Kwenye mashindano ya soka,hakuna kinachoangaliwa ZAIDI ya kushinda au kushindwaWapi nimezungumzia kushinda au kushindwa? Nimezungumzia style ya uchezaji. Timu inaweza kufungwa au kutoka sare lakini kila mmoja akaipongeza kutokana na jinsi ilivyocheza. Na hili la kutokuwa na kikosi kinachoeleweka je?
Kwan hujui sahiv wenye nchi, ni wanazi wa Yanga, wanapeleka pesa tu pale
Kama nakubalianaKwenye mashindano ya soka,hakuna kinachoangaliwa ZAIDI ya kushinda au kushindwa
Style ni kitu KIDOGO MNO!Kutokuwa na kikosi
Hilo sio tatizo la Pablo ,ni kwamba wachezaji wengi wa Simba mwaka huu wamekuwa kama Homa ya Vipindi!Aisha hii Timu ameikuta Iko hivo...hadi kucheza Robo Fainal ya Caf Mimi namuona ni Bonge la Kocha