mwenyekiti wa Bunge la katiba

andrew tezie

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
13
Reaction score
2
Hatimae Mh Samuel Sitta amechaguliwa Kuwa m/kiti wa Bunge la Katiba, je utendaji wake utaweza kufanana ule wakati alipokuwa Spika?Sababu hakuweza kutetea nafasi yake kwenye kinyang'anyiro cha awamu ya pili ambapo Mh Makinda alishinda.Nini kipya ambacho unadhani atakuwa nacho wakati alionekana hawezi kuliendesha Bunge la Jamhuri ya Muungano na sasa kwamba amefaa Kuwa M/kiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…