Mwenyekiti wa CCM alipaswa kujibu “Mbowe must go “ na sio kuonesha jazba au kujibu hoja za kisiasa kama Amiri Jeshi Mkuu.

Mwenyekiti wa CCM alipaswa kujibu “Mbowe must go “ na sio kuonesha jazba au kujibu hoja za kisiasa kama Amiri Jeshi Mkuu.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Tumeona uwezo mdogo wa ku-engage katika siasa za malumbano ya hoja kati ya wanasiasa wetu. Nafikiri rais Samia mara nyingi hujisahau kuwa yeye pia ni kiongozi wa chama cha siasa kama walivyo wengine.

Mwenyekiti wa CCM mama Samia alipaswa kujibu hoja za wapinzani kwa kutumia hoja za kisiasa na sio kutumia nafasi yake kama amiri jeshi mkuu kujibu hoja za kisiasa.
 
Tumeona uwezo mdogo wa ku-engage katika siasa za malumbano ya hoja kati ya wanasiasa wetu. Nafikiri rais Samia mara nyingi hujisahau kuwa yeye pia ni kiongozi wa chama cha siasa kama walivyo wengine.

Mwenyekiti wa CCM mama Samia alipaswa kujibu hoja za wapinzani kwa kutumia hoja za kisiasa na sio kutumia nafasi yake kama amiri jeshi mkuu kujibu hoja za kisiasa.
samia must go kwa katiba ya nchi yenu ni uhaini
 
Tumeona uwezo mdogo wa ku-engage katika siasa za malumbano ya hoja kati ya wanasiasa wetu. Nafikiri rais Samia mara nyingi hujisahau kuwa yeye pia ni kiongozi wa chama cha siasa kama walivyo wengine.

Mwenyekiti wa CCM mama Samia alipaswa kujibu hoja za wapinzani kwa kutumia hoja za kisiasa na sio kutumia nafasi yake kama amiri jeshi mkuu kujibu hoja za kisiasa.
eti Samia Must go, halafu eti ndio maandamano ya amani 🤣

viongozi wengine bana dah
 
Hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa sio kijeshi!
actually unaweza tafsiri powerful speech ya president kadiri unavyo weza kutafsiri...


but ukweli unabaki pale pale,
Amer Jeshi Mkuu makini hawezi kupuuza hata kidogo, kitisho cha kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa watu wake, hata kiwe dhaifu namna gani na hata kama kimetolewa na wanasiasa, wavuta bangi au walevi dhidi ya wananchi anaowaongoza, Lazima asimame imara, awaonyeshe njia wananchi na kuwahakikishia usalama wao, familia zao, kazi na shughuli zao 🐒

hivyo ndivyo viongozi wenye nguvu zaidi duniani hufanya 🐒
 
actually unaweza tafsiri powerful speech ya president kadiri unavyo weza kutafsiri...


but ukweli unabaki pale pale,
Amer Jeshi Mkuu makini hawezi kupuuza hata kidogo, kitisho cha kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa watu wake, hata kiwe dhaifu namna gani na hata kama kimetolewa na wanasiasa, wavuta bangi au walevi dhidi ya wananchi anaowaongoza, Lazima asimame imara, awaonyeshe njia wananchi na kuwahakikishia usalama wao, familia zao, kazi na shughuli zao 🐒

hivyo ndivyo viongozi wenye nguvu zaidi duniani hufanya 🐒
Amani imetishiwa vipi hapo?
 
Amani imetishiwa vipi hapo?
kwahiyo maandamano ya Samia must go ndio amani yenyewe iliyotoshiwa, right ?🤣

kwamba mnaandamana na marungu yenu mnapita magogoni mnaimba samia must go, mnavunja geti na mnaingia ikulu kumtoa Dr. Samia halafu vyombo vya ulinzi vinawatazama tu, na kujisemea aah haya ni maandamano ya amani wanaenda kumtoa rais Madarakani 🤣🤣

aaise maigizo mengine yanachekesha sana, na vilevi kwenye mambo ya msingi bana dah 🐒
 
kwahiyo maandamano ya Samia must go ndio amani yenyewe iliyotoshiwa, right ?🤣

kwamba mnaandamana na marungu yenu mnapita magogoni mnaimba samia must go, mnavunja geti na mnaingia ikulu kumtoa Dr. Samia halafu vyombo vya ulinzi vinawatazama tu, na kujisemea aah haya ni maandamano ya amani wanaenda kumtoa rais Madarakani 🤣🤣
Umeona hayo uloandika yamefanywa na Chadema?
 
Tumeona uwezo mdogo wa ku-engage katika siasa za malumbano ya hoja kati ya wanasiasa wetu. Nafikiri rais Samia mara nyingi hujisahau kuwa yeye pia ni kiongozi wa chama cha siasa kama walivyo wengine.

Mwenyekiti wa CCM mama Samia alipaswa kujibu hoja za wapinzani kwa kutumia hoja za kisiasa na sio kutumia nafasi yake kama amiri jeshi mkuu kujibu hoja za kisiasa.
Kurjuan imejibu na ataropoka sana
 
Back
Top Bottom