Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga jitafakari, unakigawa chama kwa safu yako

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga jitafakari, unakigawa chama kwa safu yako

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, CCM mkoa wa Tanga, unachokifanya ni hatari mno kwa mustakabali wa chama mkoani hapa ukishirikiana na swahiba wako Abdul mtoto pendwa wa Rais Samia.

Hatua yako ya kuandaa safu ya unaotaka wawe wabunge 2025 tofauti na utaratibu wa chama haukubaliki. Unawagawa wanachama kwa maslahi yako binafsi na huyo dogo.

Siku zako za kuumbuka zinahesabiwa pamoja na ukwasi ulionao uliojaa kila aina ya shaka. Tenda haki kwa wanwchama wote bila kuwabagua kama kondoo katikati ya mbuzi.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, CCM mkoa wa Tanga, unachokifanya ni hatari mno kwa mustakabali wa chama mkoani hapa ukishirikiana na swahiba wako Abdul mtoto pendwa wa Rais Samia...
Hawa CCM walisha wafanya mazezeta, endeleeni kuwatengenezea maisha ilihali nyie mkididimia kwenye umasikini mkubwa sana.

Hapo Tanga si ndio kuna definition za What is Poerverty?

endeleeni kuwa mataji kwa CCM
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, CCM mkoa wa Tanga, unachokifanya ni hatari mno kwa mustakabali wa chama mkoani hapa ukishirikiana na swahiba wako Abdul mtoto pendwa wa Rais Samia.

Hatua yako ya kuandaa safu ya unaotaka wawe wabunge 2025 tofauti na utaratibu wa chama haukubaliki. Unawagawa wanachama kwa maslahi yako binafsi na huyo dogo.

Siku zako za kuumbuka zinahesabiwa pamoja na ukwasi ulionao uliojaa kila aina ya shaka. Tenda haki kwa wanwchama wote bila kuwabagua kama kondoo katikati ya mbuzi.
Ummy atavuna alichopanda jeuri yake kwa watu wa mwakidila aliwaalika dodoma halafu akawakimbia kazi anayo!
 
"Migambo Inaruka Na Kukanyagana, Yote imeinamana, Inaruka Kinyama....Hiiii Anacheka."
 
Huyo Abdul Samia amekuwa kirusi sasa. Kila sehemu yenye dalili za uovu lazima atajwe yeye.

Ila atambue span ya relevance ya mama yake ipo very limited. Asije kuumbuka huko mbeleni.
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, CCM mkoa wa Tanga, unachokifanya ni hatari mno kwa mustakabali wa chama mkoani hapa ukishirikiana na swahiba wako Abdul mtoto pendwa wa Rais Samia.

Hatua yako ya kuandaa safu ya unaotaka wawe wabunge 2025 tofauti na utaratibu wa chama haukubaliki. Unawagawa wanachama kwa maslahi yako binafsi na huyo dogo.

Siku zako za kuumbuka zinahesabiwa pamoja na ukwasi ulionao uliojaa kila aina ya shaka. Tenda haki kwa wanwchama wote bila kuwabagua kama kondoo katikati ya mbuzi.
Mwenyekiti ndiye mpunga mapepo wa mama na ndiye anamuagua mtakoma
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, CCM mkoa wa Tanga, unachokifanya ni hatari mno kwa mustakabali wa chama mkoani hapa ukishirikiana na swahiba wako Abdul mtoto pendwa wa Rais Samia.

Hatua yako ya kuandaa safu ya unaotaka wawe wabunge 2025 tofauti na utaratibu wa chama haukubaliki. Unawagawa wanachama kwa maslahi yako binafsi na huyo dogo.

Siku zako za kuumbuka zinahesabiwa pamoja na ukwasi ulionao uliojaa kila aina ya shaka. Tenda haki kwa wanwchama wote bila kuwabagua kama kondoo katikati ya mbuzi.
Anaitwa nani mwenyekiti wenu?
 
Back
Top Bottom