Mwenyekiti wa CCM naomba unipendekeze kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa

Namba ya simu ikowapi sasa akupigie muongee.
 
Unataka teuzi wakati upo jf , jitokeze adharani itisha vyombo vya habari eleza kwa nini uteuliwe, wanaccm wenzako wapime hoja ,

Nchi ina vituko sana yani upo jf unaomba teuzi kweli we mbingu utasikia tu
 
File lako lipo Mezani
 


Hufai hata ukatibu tawala wa kijiji
 
Mkuu, ukiona aliyekuwa KM katema bungo basi tambua hiyo nafasi ni kaa la moto tuelekeapo chaguzi za 2024 na 2025. Mwenyekiti Taifa mwaka 2019 na 2020 alikuwa akiogopeka sana ndani ya chama hivyo kuifanya kazi ya Bashiru kama KM kuwa rahisi.

Katika kipindi hiki mawimbi ni mengi na makubwa sana baharini, minyukano ni mingi kupitia makundi hasimu ndani ya chama, nahodha anakiangalia chombo kikisukwasukwa huku na kule. Ili kumpata KM itapasa ichezwe kete ama karata muhimu sana.

Ninavyowatambua "veggies" safari hii ni lazima atakuja mtu kutoka kanda ya Nyanda za Juu Kusini, pengine hasa Mkoa wa Ruvuma, kama wewe hutokei huko basi subiri kwa kuwa zamu yako pengine itakuja kutokea siku nyingine.
 
B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…