Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu afurahishwa na maandalizi ya mkutano mkuu wa 10 utakaoanza kesho Desemba 7

Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu afurahishwa na maandalizi ya mkutano mkuu wa 10 utakaoanza kesho Desemba 7

Sahihi kabisa! Mfano kuna utawala bora, hakuna tozo za kipuuzi, hakuna upendeleo katika ajira, na pia katika kugawana keki ya Taifa, raslimali zinatumika kwa manufaa ya wananchi wote, badala ya wachache, kuna demokrasia ya kweli, nk.

Nani angehangaika kupiga moto hizo nguo!!
Mi kinachoshangaza kila mtu kabla hajateuliwa/shinda uchaguzi wanakuwa na akili za kizalendo ila e bwana mtu akishachaguliwa ni balaa.
 
View attachment 2437647View attachment 2437648View attachment 2437649View attachment 2437650View attachment 2437651View attachment 2437652
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa Rais Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua maandalizi mbalimbali ya Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama unaotarajiwa kufanyika kuanzia kesho tarehe 07-08 Desemba, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
kwa hiyo dodoma hapafai kwenda siku hizi mbili tatu
 
TNP ni Chama cha Nani?
Ni Chama kipya, na kijacho cha Watanzania, na Wazalendo wa kweli wa nchi yao.

Chama hicho kitawaunganisha Watanzania Wazalendo wote kwa ajili ya kuikomboa nchi Kisiasa, Kiuchumi, Kijamii, na katika nyanja za sayansi na teknolojia.
 
Back
Top Bottom