shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Mi kinachoshangaza kila mtu kabla hajateuliwa/shinda uchaguzi wanakuwa na akili za kizalendo ila e bwana mtu akishachaguliwa ni balaa.Sahihi kabisa! Mfano kuna utawala bora, hakuna tozo za kipuuzi, hakuna upendeleo katika ajira, na pia katika kugawana keki ya Taifa, raslimali zinatumika kwa manufaa ya wananchi wote, badala ya wachache, kuna demokrasia ya kweli, nk.
Nani angehangaika kupiga moto hizo nguo!!
Well written brotherCCM Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga tuu. CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo. CCM ndio yenye uchungu na maisha ya watanzania
kwa hiyo dodoma hapafai kwenda siku hizi mbili tatuView attachment 2437647View attachment 2437648View attachment 2437649View attachment 2437650View attachment 2437651View attachment 2437652
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa Rais Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua maandalizi mbalimbali ya Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama unaotarajiwa kufanyika kuanzia kesho tarehe 07-08 Desemba, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Tanzania National Party. Usisahau mchakato wa usajili wake bado haujaanza.Wewe ni wachama gani?
CHADEMA mnanpngwa sanawezi wa kura nyie hamna lolote. (rejea uchaguzi wa 2020) Kinondoni ofisi ya CCM kura zilipigwa siku mbili kabla. waliopiga waliahidiwa 5000/= hawajalipwa mapka leo
Huu mkutano mkuu nitaukumbuka daima aise, It was awesomeViva Samia Viva
Viva CCM Viva
Viva Wajumbe Viva
TNP ni Chama cha Nani?Tanzania National Party. Usisahau mchakato wa usajili wake bado haujaanza.
Ni Chama kipya, na kijacho cha Watanzania, na Wazalendo wa kweli wa nchi yao.TNP ni Chama cha Nani?