Mbona wamezomea kistaarabu sanaHuyu ni M/Kiti wa Wilaya ya Tarime.
Anaitwa Marwa Ngicho, hapa alikuwa msibani anawaambia Wananchi wana maisha mazuri kupitia CCM.
Wananchi walimzoea msibani bila kuogopa.
Hizi sio dalili nzuri kwa Chama Tawala kutoka kwenye eneo analotoka Makamu Mwenyekiti TAIFA.
Source: X
View attachment 3232738
Aione Babu Wasira.Huyu ni M/Kiti wa Wilaya ya Tarime.
Anaitwa Marwa Ngicho, hapa alikuwa msibani anawaambia Wananchi wana maisha mazuri kupitia CCM.
Wananchi walimzoea msibani bila kuogopa.
Hizi sio dalili nzuri kwa Chama Tawala kutoka kwenye eneo analotoka Makamu Mwenyekiti TAIFA.
Source: X
Hoja ni kwamba wamezomea bana๐๐๐๐๐๐Mbona wamezomea kistaarabu sana
Ilitakiwa wamchape Viboko kabisa sio kumuacha hivi hivi mwafrika bila Viboko tena hawa viongozi ilitakiwa tuwe tunawachapa mboko kabisa kila wakifanya upuuzi ili heshima iwepo Chizimkazi kazingua kamata weka Viboko vya matakowasi ishie kumzomea tu, kiufupi hata kura wasi mpigie
Anataka kuchapwa basi atachapwa mpaka achapikeUjumbe mzuri lakini si katika eneo sahihi
Mkutano wa nini huoHuyu ni M/Kiti wa Wilaya ya Tarime.
Anaitwa Marwa Ngicho, hapa alikuwa msibani anawaambia Wananchi wana maisha mazuri kupitia CCM.
Wananchi walimzoea msibani bila kuogopa.
Hizi sio dalili nzuri kwa Chama Tawala kutoka kwenye eneo analotoka Makamu Mwenyekiti TAIFA.
Source: X
Ndo "sample choice" ya viongozi wanaotutawala. Hata kujua aseme nn mahali gani, shida - uchawa ktk misiba ...dah!Ujumbe mzuri lakini si katika eneo sahihi
Alikuwa bize kuoshambwa hakuweza kwenda msibanMwaashambwa hamjamuita aje abubujikwe?