Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kwa maneno mengine Tumemzoea Samia hatumtaki mwingine? Upinzani huu, sasa vi vichekesho!Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma:
• Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Hivyo Mtu Anayotoka Kanda Ya Kaskazini Kweli Atampinga Mbowe! Ata Akifa Wapo Tayari Kumweka Lema Ila Sio LisuMwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma:
• Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Haihusiani na uwezo wa kugombea nafasi ya uenyekiti.Bila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa
Lisu ana wakati mgumu mno kupata wajumbe wa kumuunga mkono mkutano mkuu Taifa wa chadema ili awe mwenyekiti 🐒Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma: Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
Machawa ya mzee Mbowe hadi yanatia aibu aisee.Bila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa
Yeye na nani? Aongelee binafsi kwamba anamhitaji Mbowe aendelee kugombea uwenyekitiMwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA waliomuomba Mbowe agombee. Moja ya jibu nalotegemea kutoka kwake katika saa 48 alizotoa ni kwamba atagombea" alisema Kilewo.
View attachment 3180185
Pia, Soma:
• Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
• CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Hiyo kileo kama Mzee Mbowe hatakuwa Mwenyekiti atakufa njaaChadema inamuhitaji Lissu ili akafute dhana ya uchaga na Chadema...
Hawa kina Kilewo wanaamini chama cha kwao hiki...
Hiyo dhana lazima iondoke.
Yeye na wachaga wenzakeYeye na nani? Aongelee binafsi kwamba anamhitaji Mbowe aendelee kugombea uwenyekiti
Hapo sawa! Kumbe waliokuwa wakisema ni chadema ni saccos ya wachaga walikuwa sahihiYeye na wachaga wenzake
Machawa wa mbowe katika ubora wao