Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kugombea tena jimbo la Hai

Hebu wacha maswali yako ya kitoto, kwani Hai iko mbinguni?!
 
Duh haki ya nani! Litakuwa ni kosa kubwa sana nchi yetu kuongozwa na wanaojiita wapinzani.
 
Mgombea urais wa Chadema ni Laxaro Nyalandu........ni majibu aliyoyapata kutoka maombi yake ya Israel.

Maendeleo hayana vyama!
 


 
DJ Makengeza tayari kakunja mkia wake!! hana ubavu wa urais!! ni huruma na pole sana kwake sababu DJ keshashindwa mbio na mbunge wa ccm jimboni Hai kabla mbio hazijaanza, DJ ni mlevi, ni mzinzi ( viti maalum na madem wanaotafuta viti maalum na kimada mkuu ni Joy) na mwizi wa ruzuku ya saccoss na michango ya wabunge!! DJ hajafanya lolote jimboni ndo maana akienda kuhutubia vijana wanamzomea na kumrushia jukwaani mawe makopo na michanga na kumtaka atimue!!

DJ ni mropokaji mno bungeni kapageuza jukwaa la kujipaisha kisiasa na ni mtu mbinafsi kwakuwa yeye anakula kodi za wanyonge kuongeza mafuta ya tumbo lake kubwa basi anadhani raia wana pesa eti akapambana kuishauri serikali tufungiwe!! hatutamsamehe kamwe muuaji huyu!!

au DJ alitaka raia tufungiwe ndani kuogopa Korona tukose msosi tutoke nje kibabe tupambane na virungu na mabuti ya FFU kisha kutokee fujo kubwa bongo chadema wapate ajenda ya uchaguzi mkuu!!

DJ ni mpumbavu grade one!!

Huyu DJ ni mchochezi na mpinga juhudi za maendeleo na anachafua taswira ya nchi kwa kuongea uongo kwenye vyombo vya habari vya kimataifa hafai kurudi bungeni hata kwa goli la mkono ni halali tu, nitachukia sana nikisikia kashinda hai na hasira zangu nitamalizia kwa kuchukua binti wa kichagga wa ukoo wake nioe na dini nimbadilishe awe anavaa ninja!! pesa ya mahari mbege pipa moja na mikungu kumi ya NDISI naanza kujaza now!!
but i suppose sisiem watachukua bunduki bure kuua mbu huko hai wakati DJ is just a dying horse who giving his last kick!!
 
Kwahiyo ni sahihi ccm kugawa majimbo rambi rambi kwa watoto wa marehemu Kombani, Mgimwa, Kagoda, Sioyi na wengineo?

Kwahiyo ilikuwa sahihi kwa mzee Msekwa na mkewe kuwa bungeni mwingine akiwa speaker na mwingine akiwa waziri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…