Hebu wacha maswali yako ya kitoto, kwani Hai iko mbinguni?!Mbowe na mwanawe wanaishi Dar es salaam ndiko makazi yao yalipo wanaenda kuwaamulia watu wa moshi mjini na hai wawachague wao wakazi wa dar es salaam kuwa wabunge wao!!! kwani Moshi mjini na Hai hakuna permanent residents wanaoishi kule muda wote hadi wa import wagombea Mbowe na Mwanawe toka Dar es salaam washike ubunge?
Hakuna kama Mwinyi!KWANI NYIE MLIPOWACHAGULIA WAZANZIBAR MGOMBEA URAISI ANAYEISHI DAR KULE DODOMA, KULE ZANZIBAR HAKUKUA NA MTU MWINGINE MWENYE UWEZO WA KUWAONGOZA?
aah kumbe!! Huyo amefuata ulokole wa mama yake hatumii Faru John kama baba yake!!Huyo ni mwingine.
Yule ni Dudley, huyo ni James.
Kwa hali ya Siasa ilivyo leo nchini, weka akiba ya maneno.Mahasimu wao watapoteana safari hii
Mbowe akirudi bungeni naacha kuwatafuna.
Hata wewe ukikaa vibaya nakutafuna tu.Kama unatafunwa tafuta wateja huko chama chakavu
Akina nani huwa unawatafuna? Kwahiyo wataanza kukutafuna wao siyo?Mbowe akirudi bungeni naacha kuwatafuna.
Hata wewe ukikaa vibaya nakutafuna tu.
kaa vibaya sasa nikuonyeshe.Nadhan mwenyew umedhihirisha so pambania wateja hukohuko
Akina nani huwa unawatafuna? Kwahiyo wataanza kukutafuna wao siyo?
mimi siangalii wa kutafuna ukizubaa tu napita na wewe.Akina nani huwa unawatafuna? Kwahiyo wataanza kukutafuna wao siyo?
kaa vibaya sasa nikuonyeshe.
Wont happenCCM wajipange safari hii maana hawataenda kuamini kuwa wanaenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Note it.
Muda badoCCM wajipange safari hii maana hawataenda kuamini kuwa wanaenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Note it.
Mgombea urais wa Chadema ni Laxaro Nyalandu........ni majibu aliyoyapata kutoka maombi yake ya Israel.Hayo yamesemwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Basil Lema.
" Jimbo la Hai linatizamwa na limekuwa likizungumzwa sana, hivyo Mbowe ndie atakaesimama tena na ameshachukua fomu".
NOTE.
Wale wote mliokuwa na pressure ya Mbowe kuitaka nafasi ya kugombea Urais mtulize roho zenu sasa, kwani hakuwa na nia hiyo zaidi ya kuingia ndani ya mchakato kisayansi ili asawazishe mambo.
Pia, habari nyingine ni kwamba, mtoto wa Mbowe, Ndugu James Mbowe nae amejitokeza kuchukua fomu kugombea jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chadema.
mimi sifahamu kiluga.andika lugha yenye kueleweka twende sawa.kama umenitusi nilibadilisha ilo tusi nalifanya bange nilivuta.Wainnaa ssifaahashaykhi laa hilma baadahu
Hayo yamesemwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Basil Lema.
" Jimbo la Hai linatizamwa na limekuwa likizungumzwa sana, hivyo Mbowe ndie atakaesimama tena na ameshachukua fomu".
NOTE.
Wale wote mliokuwa na pressure ya Mbowe kuitaka nafasi ya kugombea Urais mtulize roho zenu sasa, kwani hakuwa na nia hiyo zaidi ya kuingia ndani ya mchakato kisayansi ili asawazishe mambo.
Pia, habari nyingine ni kwamba, mtoto wa Mbowe, Ndugu James Mbowe nae amejitokeza kuchukua fomu kugombea jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chadema.
Kwahiyo ni sahihi ccm kugawa majimbo rambi rambi kwa watoto wa marehemu Kombani, Mgimwa, Kagoda, Sioyi na wengineo?Mkoa wa kilimanjaro wanagawana baba na mtoto kwa wakati mmoja .CHADEMA WAMEIFANYA MALI YAO MUDA MREFU Sasa wameugeuza kilimanjaro mali yao 2020 hii !!!!
Mtoto wa mwinyi kaja muda mrefu toka baba yake ashike.Hawa wameona Kilimanjaro yao ni wakati wa kugawana muda huu huu wakati wao sio watoto wa machifu au ma mangi wa kilimanjaro wala nini