Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kugombea tena jimbo la Hai

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kugombea tena jimbo la Hai

Mkoa wa kilimanjaro wanagawana baba na mtoto kwa wakati mmoja .CHADEMA WAMEIFANYA MALI YAO MUDA MREFU Sasa wameugeuza kilimanjaro mali yao 2020 hii !!!!

Mtoto wa mwinyi kaja muda mrefu toka baba yake ashike.Hawa wameona Kilimanjaro yao ni wakati wa kugawana muda huu huu wakati wao sio watoto wa machifu au ma mangi wa kilimanjaro wala nini
Uongozi ni utasshi, Mtu haamki tu na kujikuta Rais,Mbunge, Diwani, Kwayo baba yako mzazi akiwa kiongozi watoto wake wasitake uongozi kisa ni nini?
 
Kwahiyo ni sahihi ccm kugawa majimbo rambi rambi kwa watoto wa marehemu Kombani, Mgimwa, Kagoda, Sioyi na wengineo?

Kwahiyo ilikuwa sahihi kwa mzee Msekwa na mkewe kuwa bungeni mwingine akiwa speaker na mwingine akiwa waziri?
Mkewe msekwa alikuwa nani?
je wàlioana kabla au baada ya kupata ubunge?
 
Huyu mtoto wa Mbowe ndiye yule aliyedondoka kwenye Club moja jijini Dar sababu ya Faru John au??
Ni yule aliepona Corona licha ya namna mlivyokua mnamuombea afe kwa Corona. Sasa anaingia bungeni mwaka huu kazi mnayo.
 
Mkoa wa kilimanjaro wanagawana baba na mtoto kwa wakati mmoja .CHADEMA WAMEIFANYA MALI YAO MUDA MREFU Sasa wameugeuza kilimanjaro mali yao 2020 hii !!!!

Mtoto wa mwinyi kaja muda mrefu toka baba yake ashike.Hawa wameona Kilimanjaro yao ni wakati wa kugawana muda huu huu wakati wao sio watoto wa machifu au ma mangi wa kilimanjaro wala nini
Danga la Lumumba, katibiwe fistula dada, inatibika
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom