Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Uongozi ni utasshi, Mtu haamki tu na kujikuta Rais,Mbunge, Diwani, Kwayo baba yako mzazi akiwa kiongozi watoto wake wasitake uongozi kisa ni nini?Mkoa wa kilimanjaro wanagawana baba na mtoto kwa wakati mmoja .CHADEMA WAMEIFANYA MALI YAO MUDA MREFU Sasa wameugeuza kilimanjaro mali yao 2020 hii !!!!
Mtoto wa mwinyi kaja muda mrefu toka baba yake ashike.Hawa wameona Kilimanjaro yao ni wakati wa kugawana muda huu huu wakati wao sio watoto wa machifu au ma mangi wa kilimanjaro wala nini
mimi sifahamu kiluga.andika lugha yenye kueleweka twende sawa.kama umenitusi nilibadilisha ilo tusi nalifanya bange nilivuta.
Ni mafuta ya kupigia nyeto.Kiluga ndo nn?
Mkewe msekwa alikuwa nani?Kwahiyo ni sahihi ccm kugawa majimbo rambi rambi kwa watoto wa marehemu Kombani, Mgimwa, Kagoda, Sioyi na wengineo?
Kwahiyo ilikuwa sahihi kwa mzee Msekwa na mkewe kuwa bungeni mwingine akiwa speaker na mwingine akiwa waziri?
CHADEMA wanajua sana kufanya siasa za kisayansi.
Ni yule aliepona Corona licha ya namna mlivyokua mnamuombea afe kwa Corona. Sasa anaingia bungeni mwaka huu kazi mnayo.Huyu mtoto wa Mbowe ndiye yule aliyedondoka kwenye Club moja jijini Dar sababu ya Faru John au??
Danga la Lumumba, katibiwe fistula dada, inatibikaMkoa wa kilimanjaro wanagawana baba na mtoto kwa wakati mmoja .CHADEMA WAMEIFANYA MALI YAO MUDA MREFU Sasa wameugeuza kilimanjaro mali yao 2020 hii !!!!
Mtoto wa mwinyi kaja muda mrefu toka baba yake ashike.Hawa wameona Kilimanjaro yao ni wakati wa kugawana muda huu huu wakati wao sio watoto wa machifu au ma mangi wa kilimanjaro wala nini