Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo yake yanakuja , Kama Mbwai na iwe MbwaiWilbard mashauri mjinga anaendekeza tumbo lake hana reference ya kisheria sasa kawa jaji ndio aendelee kutunisha mtumbo wake kwa tamaa ya madaraka mpuuzi kabisa Mungu amlaani yeye na kizazi chake
BREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masikin ni wew pamoja na mama yako.Masikini ya Mungu pesa za matibabu na school fees za wanawe tumeona clip anaomba kwa diaspora huko US sasa pesa za kununua nafasi ya kugombea urais atazitoa wapi? Unafikiri Wachagga watampa bure hiyo nafasi?
Mkyuti kweli wewe noma!...kweli bhana!wanaachiwa leo
Hawa watu wana laana tena laana mbaya sana!
Kumbe na wewe AKILI MATOPE? Lissu kasema kwamba kama atapendekezwa na chama chake, yupo tayari kugombea Urais. KUTANGAZA KUGOMBEA URAIS ni ishu nyingine kabisaHujui kama Lissu katangaza kugombea urais?
mahakama ya Kisutu ilikabidhi jukumu lake kwa Polisi “ - Jaji Rumanyika
“ hakuna mahala popote warufani wamezuiwa kusafiri Lakini Wakati huo huo wanatakiwa kuripoti Polisi kila Juma. Hii maana yake wamenyimwa Uhuru wa kusafiri na haki ya kufanya kazi “ - Jaji Rumanyia
“ ni hatari sana kunyima dhamana mtu bila sababu za Msingi “ - Jaji Rumanyika
“ Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji. Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu kwa kuzingatia HAKI “- Jaji Sam Rumanyika .
Chanzo:Ukurasa wa twitter wa Zitto