Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Ukisikia unafiki uko sura nyingi alikuwa wapi kusema kabla
 
Watawala wanapaswa kuwa na hofu ya Mungu badala ya kuendelea kutenda dhambi kwa kuomba waombewe wakati wakijua fika kuwa matendo yao ni kiuonevu dhidi ya RAIA walioapa kuwalinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu yule hakimu aliyefuta dhamana ya mbowe na ester ndio kwanza jiwe kampandisha cheo kwa kazi nzuri aliyomfanyia kuwakomesha wapinzani ukisoma maelezo ya jaji was mahakama kuu utaona kabisa jamaa hana sifa ya kuwa hata hakimu wa kata halafu kabudi anasema nchi inaendeshwa kidemokrasia tuwache utani .
 
Nilikua mahakamani kwenye kesi nyingine hukumu ya Mbowe na Esther ilivyo toka: tulisikia furaha za watu mpaka kwenye Chamber za Majaji. #Ruleoflaw
Hata sisi CCM tulisikia furaha mno kuwa kweli mahakama iko huru na inatenda haki tofauti na wengine wanaosema mahakama haiko huru na haitendi haki .tumelipuka kwa furaha sana hongera sana chadema kwa ushindi mnono .
 
Faiza ulikosa uteuz enzi za jk,wenzako wote waliokua wamejaaliwa neema za Allah kama ww ulivyo na tako kubwa walilamba uteuzi udc awamu hii unajipendekeza kwa kasi unatamani mpaka kuingia kanisani lkn hawakuoni tu pole sana

Ha haaaaaa , huyu Bibi leo kashindwa kuchangia mpaka nime hisi Wadukuzi wanacheza na ID yake😂😂..
 
Amini nawaambia Mzee Meko atafanya uteuzi weekend hii ili apate nafasi ya kuapisha na kutoa hotuba ya kumshambulia huyu Jaji na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla.... stay tuned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…