Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Hata sisi CCM tulisikia furaha mno kuwa kweli mahakama iko huru na inatenda haki tofauti na wengine wanaosema mahakama haiko huru na haitendi haki .tumelipuka kwa furaha sana hongera sana chadema kwa ushindi mnono .
Shida ya Ako Kamama Ni Kaongo na Kasahurifu, Leo Prof. Judge Rumanyika Angekuja Na Maamuzi Tofauti Wala Asingeandika Aya Yote, Wanasiasa Wajifunze Akili Zao Kuwa na Akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana pia waliamua tu kuwaweka ndani
Kila mtu alisema humu kuwa basi wamuachie imetosha ila wanataka kujionyesha wamefanya kazi kubwaaa kumbe watu wameamua tu kuwatoa

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Mataifa mengi yanazalisha waasi kwa mtindo huu wa kunyimwa au kuchelewesha kutoa haki za msingi na za kikatiba. Pole sana Mh Matiko na Mbowe, pole sana viongozi wa upinzani. Nilichojifunza kwenu nikuwa ninyi ni wazalendo na wapenda amani kuliko yoyote katika nchi. Inatosha ktk Mateso haya ninyi kuhamua lolote sasa...
 
Kuna wapuuzi wanampa maneno ya faraja mara oo Mandela wa Tz mara oo kesho ni nzuri kuliko jana-ujinga!Kwa taarifa yenu cha moto amekipata!

Hii leo atalala fofofo!

Hii leo atawasimlia wakeze!

Hii leo hataisahau kamwe!

Huwezi kukaidi Mamlaka na ukabakia ukichekewa tu kama mtoto mrembo.Huwezi kujifanya unayo akili na utafanya kile ukitakacho bila kuwa na adabu!Cha moto ame.....!

Haya tena jifanye kujifaragua ili wakufarague tena.Miezi mitatu kile kiugonjwa kilienda wapi vile!?hahahahahaha!

Mamlaka ni Mamlaka bwana makengeza na inao uwezo wa kukufanya itakavyo na hutafanya lolote!Zaidi utaimbiwa vimapambio kama walivyokuwa wakikuimbia.

Haya sasa jifanye unaumwa tena.

Povu ruksa!
 
Mbona jiwe anaelekea huko!
 

Hakika ni uamuzi wa kihistoria katika dhana ya kuondoa unonevu wa kisiasa ndani ya mahakama zetu.
Mahahama zote zikiwa na mtizamo wa kikatiba kama wa Jaji Rumanyika haki itakuwa inaonekana kwa uwazi zaidi na dhana ya uhuru wa mahakama kutoingiliwa itakuwa dhahiri
 
Sasa hivi akiambiwa tarehe ya kesi yake anaweza kwenda siku mbili kabla kwenda kusubiria hapo hapo mahakamani. Najua ameielewa mahakama sasa sio kule wanakopiga kelele ' MONGOZO!!! ' MONGOZO!!! Mwisho wa siku wanatolewa tuu nje mambo yanaishia hapo.
 
Shut up we mkolomije
 
Nahisi Mbowe na matiako watakuwa wametia akili kwa sasa. Wamwache aje kupambana na Lissu.
Kumbe hoja ilikuwa kumtumia hakimu wa mahakama ya Kisutu kuwashikisha adabu.
Siamini kama haya yanasemwa na mwelevu Faizal
 
Watu kama ninyi ndio ambao wakati ule wa utumwa mlikuwa hamtaki kupinga lolote kutoka kwa waarabu, hata wakihitaji mlikuwa tayari ili tu muishi vizuri.
Sehemu ya MAPAMBIO kama mliyokuwa mnamwimbia Jeuri yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…