Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Kuna wapuuzi wanampa maneno ya faraja mara oo Mandela wa Tz mara oo kesho ni nzuri kuliko jana-ujinga!Kwa taarifa yenu cha moto amekipata!

Hii leo atalala fofofo!

Hii leo atawasimlia wakeze!

Hii leo hataisahau kamwe!

Huwezi kukaidi Mamlaka na ukabakia ukichekewa tu kama mtoto mrembo.Huwezi kujifanya unayo akili na utafanya kile ukitakacho bila kuwa na adabu!Cha moto ame.....!

Haya tena jifanye kujifaragua ili wakufarague tena.Miezi mitatu kile kiugonjwa kilienda wapi vile!?hahahahahaha!

Mamlaka ni Mamlaka bwana makengeza na inao uwezo wa kukufanya itakavyo na hutafanya lolote!Zaidi utaimbiwa vimapambio kama walivyokuwa wakikuimbia.

Haya sasa jifanye unaumwa tena.

Povu ruksa!

Kumbe majitu bado matoto namna hii?

Jitu zima lina mvi mpaka matakoni lipo JF linashangilia uonevu usio na maana?

Tuna safari ndefu sana!
 
Hata sisi CCM tulisikia furaha mno kuwa kweli mahakama iko huru na inatenda haki tofauti na wengine wanaosema mahakama haiko huru na haitendi haki .tumelipuka kwa furaha sana hongera sana chadema kwa ushindi mnono .
Hivyo vimahakama vya mahakimu wakaazi endeleeni kuvitumia lakini mwisho wenu umefika rasmi
 
Hata Mandela aliteswa na makaburu lakini leo hii dunia nzima inamthamini kuliko hata hao makaburu walioijenga South Africa.
 
Sasa hivi akiambiwa tarehe ya kesi yake anaweza kwenda siku mbili kabla kwenda kusubiria hapo hapo mahakamani. Najua ameielewa mahakama sasa sio kule wanakopiga kelele ' MONGOZO!!! ' MONGOZO!!! Mwisho wa siku wanatolewa tuu nje mambo yanaishia hapo.
Dawa yake jeuri ni kiburi!
 
Kuna watu ni wapumbavu katika dunia hii sijawahi ona kama unadhani kua maswina ni chamoto basi pole maswina kitu gani bwana ni kawaida mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi akiambiwa tarehe ya kesi yake anaweza kwenda siku mbili kabla kwenda kusubiria hapo hapo mahakamani. Najua ameielewa mahakama sasa sio kule wanakopiga kelele ' MONGOZO!!! ' MONGOZO!!! Mwisho wa siku wanatolewa tuu nje mambo yanaishia hapo.
Maneno ya mkosaji!
 
Kuna wapuuzi wanampa maneno ya faraja mara oo Mandela wa Tz mara oo kesho ni nzuri kuliko jana-ujinga!Kwa taarifa yenu cha moto amekipata!

Hii leo atalala fofofo!

Hii leo atawasimlia wakeze!

Hii leo hataisahau kamwe!

Huwezi kukaidi Mamlaka na ukabakia ukichekewa tu kama mtoto mrembo.Huwezi kujifanya unayo akili na utafanya kile ukitakacho bila kuwa na adabu!Cha moto ame.....!

Haya tena jifanye kujifaragua ili wakufarague tena.Miezi mitatu kile kiugonjwa kilienda wapi vile!?hahahahahaha!

Mamlaka ni Mamlaka bwana makengeza na inao uwezo wa kukufanya itakavyo na hutafanya lolote!Zaidi utaimbiwa vimapambio kama walivyokuwa wakikuimbia.

Haya sasa jifanye unaumwa tena.

Povu ruksa!
Una maumivu kwa uamuzi wa mahakama?
 
Kuna wapuuzi wanampa maneno ya faraja mara oo Mandela wa Tz mara oo kesho ni nzuri kuliko jana-ujinga!Kwa taarifa yenu cha moto amekipata!

Hii leo atalala fofofo!

Hii leo atawasimlia wakeze!

Hii leo hataisahau kamwe!

Huwezi kukaidi Mamlaka na ukabakia ukichekewa tu kama mtoto mrembo.Huwezi kujifanya unayo akili na utafanya kile ukitakacho bila kuwa na adabu!Cha moto ame.....!

Haya tena jifanye kujifaragua ili wakufarague tena.Miezi mitatu kile kiugonjwa kilienda wapi vile!?hahahahahaha!

Mamlaka ni Mamlaka bwana makengeza na inao uwezo wa kukufanya itakavyo na hutafanya lolote!Zaidi utaimbiwa vimapambio kama walivyokuwa wakikuimbia.

Haya sasa jifanye unaumwa tena.

Povu ruksa!
Libwa kabisa wewe!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua mahakamani kwenye kesi nyingine hukumu ya Mbowe na Esther ilivyo toka: tulisikia furaha za watu mpaka kwenye Chamber za Majaji. #Ruleoflaw
Mimi nilikacha misa ya jana kwa vile kwenye kanisa ninalosali waliingia watu ambao si wa Mungu , siwezi kushiriki ibada moja na mawakala wa shetani wanaojulikana waziwazi
 
Kila mtu alisema humu kuwa basi wamuachie imetosha ila wanataka kujionyesha wamefanya kazi kubwaaa kumbe watu wameamua tu kuwatoa
kabisa unadhani kibano cha kidiplomasia mchezo kuporomoka shilingi mchezzo anavozodolewa na wananchi hajui uongozi mchezo magu kwisheney yaani reduced to zero
 
Back
Top Bottom