Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi akutana na Profesa J na kufanya naye Mazungumzo

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi akutana na Profesa J na kufanya naye Mazungumzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.

Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea

Screenshot_2024-06-16-20-38-06-1.png

 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.

Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea

View attachment 3018934
sugu ashakuwa mheshimiwa tena. hio minyororo shingoni aivue tena
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.

Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea

Collabo ipo njiani!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.

Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea

Nani amekwambia kuwa wamezungumzia ugumu wa maisha? Unajua kutia sukari ww. Muhimu upate picha mengine wakuachie
 
Back
Top Bottom