Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Hongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa eeMimi ndio nilikuwa napiga hizo picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa eeMimi ndio nilikuwa napiga hizo picha
Hongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa eeMimi ndio nilikuwa napiga hizo picha
Hongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa eeMimi ndio nilikuwa napiga hizo picha
Hapana, mimi ni Mwekezaji mwenzie ninayeshughulika biashara za njeHongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa ee
Hongera mkuu, bila shaka utakua mpambe wa mwenyekiti wa nyasa eeMimi ndio nilikuwa napiga hizo picha
Hongera sanaHapana, mimi ni Mwekezaji mwenzie ninayeshughulika biashara za nje
Pamoja na maisha magumu waliyonayo Watanzania, hawakuacha kumchangia Mh. Prof. J alipowaomba msaada pale alipokuwa anaumwa!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.
Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea
Usikalie habariyaani mwana kamtembelea mwana mwenzie waliohustle wote enzi zile tayari imeshakuwa Habari.
Akija basi na hapa ilala tulipokuwa tunaminya naye ghetto kipindi cha msoto nayo iwe habari basi.
SIO KILA HABARI NI HABARI.
Usione kinyaa mafisadi yaliyovaa suti toa hiyo mindset mbovu wajinga kibao wanavaa kanzu na majoho ya dini lakini miyeyusho tu wezi kibao wako kwenye suti na mnawapa heshima wasizostahiliNa hivyo vikaptura wanatia kinyaa
Anaongelewa Sugu wewe unaleta hadithi za HayatiMkapa alivaa cheni hadi kaburini
Sasa mfungwa atakosaje pingu!!sugu ashakuwa mheshimiwa tena. hio minyororo shingoni aivue tena
Usikalie habari
Sasa sijui unanifundisha, unanikataza au unanipa mkwara!Tutajaza server za JF hapa, akienda Sinza kwa Faiza tulete habari yuko Kwa mzazi mwenzie.
Sasa hapo huoni kabisa yuko casual kwenye maisha yake binafsi tunaifanya habari.