Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi akutana na Profesa J na kufanya naye Mazungumzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo.

Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo ya Chama chao, hasa Chaguzi za ndani zinazoendelea


 
sugu ashakuwa mheshimiwa tena. hio minyororo shingoni aivue tena
 
Collabo ipo njiani!
 
Acheni ushamba!

Kaptura zilivaliwa na viongozi wakubwa sana Duniani
Kina 👑 George
Mahatima Gandh India

Wabongo shida sana!!

Vitu vidogo vidogo mnaviruhusu viwatoe katika point muhimu
Bongo nyoso
 
Nani amekwambia kuwa wamezungumzia ugumu wa maisha? Unajua kutia sukari ww. Muhimu upate picha mengine wakuachie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…