Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa yuko ziarani Nchini Marekani, akutana na Maofisa wa serikali na Wafanyabiashara Wakubwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa amepokelewa na Maofisa wa serikali ya Marekani.





Jambo kubwa zaidi ni kutambuliwa kwa ziara hiyo na mamlaka za Nchi hiyo kama ziara ya Mtu mkubwa kutokea Tanzania



Mwisho japo si kwa umuhimu, Sugu akinywa Chai ya Marekani bila Vitumbua

 
Naskia ameenda kupanga mipango ya kuwekeza huko USA, Hakika inapendeza.

Chadema to the world 🔥
 
YAAANI HAPO HAJAIZUNGUMZIA CHADEMA HATA SEHEMU MOJA KAENDA KWA MAMBO YAKE BINAFSI CHADEMA IMESHAMTUPA NAYE KAITUPA WAMEBAKI WAHUNI WATUPU CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…