Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
๐๐๐๐๐Sugu mbona anaheshimika sana Marekani?Mawaziri pamoja na Kuandikiwa barua na Jamhuri huwa wanaishia vichochoroni huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Sugu mbona anaheshimika sana Marekani?Mawaziri pamoja na Kuandikiwa barua na Jamhuri huwa wanaishia vichochoroni huko
Inaonekana kama kapokelewa kama mzito toka serikalini na sio wa chama cha upinzani. Au nao wamejichanganya ๐ ๐ณ๐Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa amepokelewa na Maofisa wa serikali ya Marekani.
View attachment 3258325View attachment 3258326
View attachment 3258329View attachment 3258330
Jambo kubwa zaidi ni kutambuliwa kwa ziara hiyo na mamlaka za Nchi hiyo kama ziara ya Mtu mkubwa kutokea Tanzania
View attachment 3258339View attachment 3258340
Mwisho japo si kwa umuhimu, Sugu akinywa Chai ya Marekani bila Vitumbua
View attachment 3258433
Shauri yakeTulia analijuan hilooo...
Labda, tena wameongezea kwamba Ujio wake umeongeza ushirikiano wa Marekani na Nchi za Africa MasharikiInaonekana kama kapokelewa kama mzito toka serikalini na sio wa chama cha upinzani. Au nao wamejichanganya ๐ ๐ณ๐
Mkuu wa North Carolina kaingizwa cha kike ๐ ๐ณLabda, tena wameongezea kwamba Ujio wake umeongeza ushirikiano wa Marekani na Nchi za Africa Mashariki
SidhaniMkuu wa North Carolina kaingizwa cha kike ๐ ๐ณ
Basi Mr Sugu yuko vizuri kuliko mawaziri na viongozi wetu huko serikaliniSidhani
Ulichelewa wapi kulijua hili?Basi Mr Sugu yuko vizuri kuliko mawaziri na viongozi wetu huko serikalini
Jogwe kama Jogwe Vs Dr Tulia na Visanga vya Bodaboda๐ ๐ ๐Joseph Mbilinyi ambaye pia ni Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa amepokelewa na Maofisa wa serikali ya Marekani.
View attachment 3258325View attachment 3258326
View attachment 3258329View attachment 3258330
Jambo kubwa zaidi ni kutambuliwa kwa ziara hiyo na mamlaka za Nchi hiyo kama ziara ya Mtu mkubwa kutokea Tanzania
View attachment 3258339View attachment 3258340
Mwisho japo si kwa umuhimu, Sugu akinywa Chai ya Marekani bila Vitumbua
View attachment 3258433
Akina Dr MwiguluSugu mbona anaheshimika sana Marekani?Mawaziri pamoja na Kuandikiwa barua na Jamhuri huwa wanaishia vichochoroni huko
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu majina ya JosefuHuyu jamaa jina lake huwaga linambeba sana.
Jina " Joseph/Yusufu" Huwaga lina nguvu za ajabu sana
Mungu abariki maneno yako yapate kutimia. AminaNaiona kila dalili TAL kukutana na TRUMP. Hiyo US state visit sio ya bure.
Tulia Hamuwezi Sugu hata akihonga Wachawi wote wa Mbeya na MboziJogwe kama Jogwe Vs Dr Tulia na Visanga vya Bodaboda๐ ๐ ๐
Nipo Diamond hapa Kona ya Bwiru Jijini Mwanza jirani na Ofisi za Kanda za Chadema ambako mara nyingi maofisa wenu wanakuja kutudowea Konyagi zetu!Unateseka ukiwa wapi?
Kwi Kwi KwiNipo Diamond hapa Kona ya Bwiru Jijini Mwanza jirani na Ofisi za Kanda za Chadema ambako mara nyingi maofisa wenu wanakuja kutudowea Konyagi zetu!